Suphian Juma: Sijaitupa tasnia ya habari

Suphian Juma: Sijaitupa tasnia ya habari

Suphian Juma

Senior Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
140
Reaction score
577
SIJAITUPA TASNIA YA HABARI.

Kuna watu walipendezwa mno na kipaji changu katika tasnia ya habari, na hivyo kunisihi kutoacha kufanya jambo licha ya kuendelea na tasnia ya siasa sasa...

Jamani Ahsanteni sana kwa kunijali; namalizia maandalizi ya kuanzisha Online TV yangu nitakayoajiri vijana kuiendesha kwa kiwango cha kisasa na ubunifu mkubwa. Na wenye kupenda kunisapoti kufanikisha hili milango ipo wazi.

TUOMBE UZIMA!!

Suphian.

FB_IMG_1622746299636.jpg

 
Wakina nan hao waliokuona unafaa?
Labda mazwazwa wenzake, amejihoji mwenyewe maana hata kwenye siasa hana mvuto wowote analazimisha tu. Sijui hawa wanayiramba wamelongwa na nani ukiangalia Mwigulu, kitila, Gwajima, Nyalandu na huyu hawajui hata wanafanya nini zaidi ya kuhabatisha tu na ndugu zao kuishi kwenye nyumba za tembe.
 
SIJAITUPA TASNIA YA HABARI.

Kuna watu walipendezwa mno na kipaji changu katika tasnia ya habari, na hivyo kunisihi kutoacha kufanya jambo licha ya kuendelea na tasnia ya siasa sasa...

Jamani Ahsanteni sana kwa kunijali; namalizia maandalizi ya kuanzisha Online TV yangu nitakayoajiri vijana kuiendesha kwa kiwango cha kisasa na ubunifu mkubwa. Na wenye kupenda kunisapoti kufanikisha hili milango ipo wazi.

TUOMBE UZIMA!!

Suphian.

View attachment 1807792
Samahani chief.

Tugee historia yako ambao hatukufahamu
 
SIJAITUPA TASNIA YA HABARI.

Kuna watu walipendezwa mno na kipaji changu katika tasnia ya habari, na hivyo kunisihi kutoacha kufanya jambo licha ya kuendelea na tasnia ya siasa sasa...

Jamani Ahsanteni sana kwa kunijali; namalizia maandalizi ya kuanzisha Online TV yangu nitakayoajiri vijana kuiendesha kwa kiwango cha kisasa na ubunifu mkubwa. Na wenye kupenda kunisapoti kufanikisha hili milango ipo wazi.

TUOMBE UZIMA!!

Suphian.

View attachment 1807792
Don Nalimison njoo ukutane na ndugu yako huku
 
SIJAITUPA TASNIA YA HABARI.

Kuna watu walipendezwa mno na kipaji changu katika tasnia ya habari, na hivyo kunisihi kutoacha kufanya jambo licha ya kuendelea na tasnia ya siasa sasa...

Jamani Ahsanteni sana kwa kunijali; namalizia maandalizi ya kuanzisha Online TV yangu nitakayoajiri vijana kuiendesha kwa kiwango cha kisasa na ubunifu mkubwa. Na wenye kupenda kunisapoti kufanikisha hili milango ipo wazi.

TUOMBE UZIMA!!

Suphian.

View attachment 1807792
Lile shati la ccm ulipewa n bashiru
 
Ngoja kwanza dogo, Wewe ni celebrity ?
Mbona umefungua huu uzi kwenye jukwaa pendwa la celebrity? Ungeenda kule kwenye chit-chat
 
Back
Top Bottom