Supper skinny with a big butt!!!!!!!!

Ale healthy pia shosti vyipsi na kuku asahau...ni mboga za majani kwa kwenda mbele na michemsho...

Hapo kwenye mchemsho, unamaanisha mchemsho wa ng'ombe,kuku au samaki?

Si ndo ataongeza kitambi!
 
mpatie na mfano wa mtu aliyejikataa akajibadirisha kwa gharama na matatizo aliyoyapata akatamani alivyokuwa, km MichaelJ
 
Hapo kwenye mchemsho, unamaanisha mchemsho wa ng'ombe,kuku au samaki?

Si ndo ataongeza kitambi!
White meat is the healthiest which includes fish and chicken(Kifua cha kuku ndo kina mafuta kidogo asile ngozi ina mafuta)...nyama anaweza kubalance sometimes mara moja mpaka mbili kwa wiki....
 
Lady doctor mwenzangu wewe ni doctor, mi mtu hata akiumwa kichwa naogopa cha kumshauri, ila kunakitu umeandka ila sidhani kama umemwambia "AJIKUBALI." kama hatoelewa mwambie ajiandkishe kwenye gym club nyingi huwa znatoa namna ya kupunguza mwili ila kukuza kalio sina uhakika....sahv utaniruhusu nikuone ee. Hahaha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…