hapa, nilipo nipo sekomu, takribani wanafunzi 100 wapo kat(ika hekaheka za supp and special, shida ni kwamba wengi wao hajaweza kufika kufanya mitihani hiyo kisa pesa board hawajaleta ila mazungumzo yanaendelea na vc, dr. Aneth munga ila takribani 50 wafanye huo mtihani wakati kuna subira toka board weng wao ni first year a.k.a jkt, swali ni kwanini hiki chuo kufanyiza watu suppand special katikati ya semester badala ya mwishoni mwa semister(sept.conference) hiki kinaweza kikawa kigezo kwa nn hiki chuo ni cha kata hakina hata prof. Hata mmoja kweli ni majangaaaaaaaaaaaaaaaa