Supplier wa samaki Sangara na Sato kutoka Mwanza anahitajika

Supplier wa samaki Sangara na Sato kutoka Mwanza anahitajika

Parabora

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2019
Posts
1,504
Reaction score
2,203
Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake

1. Bei ya kilo moja kwa sato na sangara kwa jumla samaki wakiwa mwanza ili na mimi niwauze kwa jumla nikiwa Dar.

2. Namna watakavyozipack katika vifurushi na kuzigandisha kabla ya kuzisafirisha (ningependelea
walio na coldroom zao kwa Mwanza kwa ajili ya kazi hii).

3. Mabondo ya samaki nilionunua yafungwe kwenye furushi lake na kusafirishiwa pamoja na samaki (nitatuma mwakilishi wangu kusimamia na kuona ubora wa samaki).

4. Gharama za usafiri kwa kila furushi la kilo 100 mpaka mahari nilipo Dar.

5. Awe na uwezo wa kusupply kilo 300 za sato na 500 za sangara kwa kila wiki.

6. Awe na mtu Dar awepo kipindi napokea mzigo ili kuhakikisha kama mzigo nilio pokea uko sahihi kwa kilo na haujaharibika.

Aliye serious nitampa namba ya mawasiliano kwa mtu aliye huko Tz kwa mawasiliano zaidi.
 
Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake........
Condition za Malipo zipoje !!! Mzigo ufike kwanza au unalipa kabla !!kuhusu mzigo kuharibika ondoa Shaka kabisa kwasababu unaletwa na MAGARI YA KUBEBA SAMAKI TU (Yenye madifriza ) ndani ya masaa 18 utakuwa umeupata au unaweza pia kutumiwa kwa ndege WEKA CONDITION HAPA UTALIPAJE!!!
 
ukishaletewa samaki wako utuelekeze ofisi yako

ilipo tuje fata mabondo na hao sato na sangara
 
Ukisha maliza kuleta samaki wanaitaji kukaa kwenye frizer mi ninalo frizer la kugandisha nyama
 
Condition za Malipo zipoje !!! Mzigo ufike kwanza au unalipa kabla !!kuhusu mzigo kuharibika ondoa Shaka kabisa kwasababu unaletwa na MAGARI YA KUBEBA SAMAKI TU (Yenye madifriza ) ndani ya masaa 18 utakuwa umeupata au unaweza pia kutumiwa kwa ndege WEKA CONDITION HAPA UTALIPAJE!!!
mkuu njoo pm but nalipa nikipokea mzigo ndio maana nimesema uwe na mtu wako na akihitaji kutembelea ofisi yangu kwanza anakaribishwa
 
Back
Top Bottom