Wabongo bana njaa tupu. Mtu amesema tu kwamba anataka saplayaz pasipo kusema ni kwa ajili ya nini na yeye ni nani na yuko wapi kiofisi, vikampuni njaa mmeshaanza kudondosha miprofaili na kutoa manambj ya simu! Duuh.. Kweli dar njaa kali.. Si mrudi kijijinia wajomba. Mtatapeliwa mjini hapo. Learn to reason tena logically.. Sio being easy receptive. Funguka wewe.