supplies officer/procurement oficer

babue

Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
8
Reaction score
1
wana jf,naombeni ushauri/msaada wenu nna degree procurement+cpsp but mpaka sasa hivi sijapata ajira ya kudumu,niliajiriwa kwa mkataba kampuni moja ya serikali wakaniahihidi kibali kikitoka wataniajiri permanent,mh lakini kibali cha ajira kilipotoka secratariat ajira wakasema wao ndo wanatakiwa wafanye hiyo kazi,so ofice hawakuweza kuniajiri tena.sa hivi mwaka wa tano wameniajiri kw mkataba nami nataka ajira ya kudumu nifanyeje????na wakati secretariat ya ajira washaleta watu wao?? na nimejaribu kuaplyy sehemu nyingine cjafanikiwa msaada wenu wana jf
 
Reactions: hen
Sasa si ulitakiwa uombe nafasi zinapotangazwa au kupata mkataba wa muda ndio umeshaona na hati miliki ya hiyo post?
 
Bora wewe una hata hiyo ya mkataba,wenzio tupo kitaa hata hatujui kesho itakuaje,ni mtizamo tu:A S cry:
 
Sasa si ulitakiwa uombe nafasi zinapotangazwa au kupata mkataba wa muda ndio umeshaona na hati miliki ya hiyo post?
huwa ninaapply kila kazi zikitoka but bado sijafanikiwa likwanda
 
mwezi watisa jwtz watatangaza nafasi za ajira kwa watu wenye profesheno mbalimbali so changamkia huko jwtz ukipata huko unakula nyota mbilifasta(luteni) mshahara na marupurupu tsh1,500,000/-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…