Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikusudia hivyo ila matarajio yake hayakutimia yamebackfire. Kilichofanya asifanikiwe katika azma yake hiyo ni ukomavu wa wakikuyu kwani wana uwezo wa kupembua mambo ndio maana walitupilia mbali msimamo wake. Ingekuwa huku kwetu Tanzania ambako watu wanaabudu watu badala ya kufikiria hoja critically Ruto angeshindwa.Habari wana Jf ,hivi ile support ya Uhuru kwa laila ni siasa ,chenga ya mwili kwa raila ?
kulingana na historia na siasa za Kenya Uhuru alikuwa tayari Raila kuwa Mjaluo wa kwanza kuingia Ikulu au chenga tu ?
Kuna vitu huvielewi wewe kuhusu ukabila uliopo KenyaAlikusudia hivyo ila matarajio yake hayakutimia yamebackfire. Kilichofanya asifanikiwe katika azma yake hiyo ni uko.mavu wa wakikuyu kwani wana uwezo wa kupembua mamb ndio maana walitupilia mbali msimamo wake. Ingekuwa huku kwetu Tanzania ambako watu wanaabudu watu badala ya kufikiria hoja critically eRuto angeshindwa.
Kenyatta atakuwa anajuta kwa uamuzi aliouchukua wa ku.saliti Ruto mtu aliyemuweka kwenye urais mwaka 2012.
Wakikuyu wanemfuta .machozi Ruto kwa kusalitiwa na Kenyatta.
Mzee kazungukwa sanaMzee angefia Ikulu yule watcha apumzike tu
Kikwete pia anatukanwa bongo Ila ukweli jamaa ana ushawishi Sana kimataifa
Toka amekuja kenya wapo kwenye vikao vya siri tu kuwajenga kisakolojia wagombea upande wa Rails mpaka mission imefanikiwa.
Wajaluo hawatakuja kutawala kenya mpaka mwisho wa Dunia.
Siasa na michezo yake...Habari wana Jf ,hivi ile support ya Uhuru kwa laila ni siasa ,chenga ya mwili kwa raila ?
kulingana na historia na siasa za Kenya Uhuru alikuwa tayari Raila kuwa Mjaluo wa kwanza kuingia Ikulu au chenga tu ?
Tohara ndo shidaRaila angeshinda story ingekua nyingine. Haata hivyo mjaluo kuwa raisi kenya haiwezekani
Sawa afisa habari wa Ikulu ya Kenya.hiyo ni mipango ya mda mrefu kabla ya kampeni wote watatu wanajua Uhuru,Raila na Ruto, Uhuru hana ugomvi wowote na makamu wake ila movie wameiandaa mda mrefu kuwapumbaza wananchi
Kenyan prime minister Raila Odinga discusses the International Criminal Court's charges against Kenyan officials.
Read more :
www.dailymaverick.co.za
The great escape: How Kenyatta and Ruto beat the ICC
7 Apr 2016 — In a stroke of pragmatic genius, Kenyatta and Ruto — realising their fates were now inextricably linked — joined forces to contest the 2013 ......
READ MORE :
Luis Moreno Ocampo, prosecutor for the International Criminal Court, named six top Kenyans
Announcing the names of the “most responsible” – William Ruto, Uhuru Kenyatta, Henry Kosgey, Hussein Ali, Joshua Arap Sang, and Francis Muthaura – the ICC’s prosecutor, Luis Moreno Ocampo, said that he expected the accused to cooperate fully with the ICC court ...... International Criminal Court prosecutor Ocampo names six top Kenyans for post-election violence trial
Mkutano huo ulipangwa na MKF, ishara kwamba wanachama wa wakfu huo wenye uhusiano wa karibu na Rais Uhuru Kenyatta, wanaunga mkono azma ya Bw Odinga ya kuingia Ikulu 2022.Mnamo Alhmisi, kiongozi huyo wa ODM alirusha chambo tena katika eneo la Mlima Kenya Magharibi ambapo alifanya mkutano na wafanyabiashara na wataalamu kutoka jamii ya Ameru, katika Safari Park Hotel, Nairobi.
Kwa upande wake, Bw Odinga aliahidi kupiga jeki uzalishaji wa miraa, majani chai, kahawa, ufugaji ng’ombe wa maziwa miongoni mwa sekta zingine ambazo ni tegemeo la wakazi wa Mlima Kenya.“Maneno machafu yalitumika kumsawiri Bw Odinga kama mtu hatari na asiyefaa kuwa rais miaka ya nyuma aliposhindana na Rais mstaafu Mwai Kibaki na rais wa sasa Uhuru Kenyatta. Lakini wakati huu ambapo wawili hao hawagombei tena, hatuna budi kumuunga mkono kwa kusimama nasi tangu 2002,” Bw Murungi alinukuliwa akisema kwenye mkutano huo.
HahahahaaWakenya wamechezewa filamu.
Kuna matukio yalikuwa wazi kabisa.
Yaani Rais anampiga shoti Makamu wake live naye akiwemo.
Ushaona wapi hii.
NnRaila angeshinda story ingekua nyingine. Haata hivyo mjaluo kuwa raisi kenya haiwezekani