FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #101
haha haaaaaaaaaaa, pole mwaya kwenye hii safari ya mapenzi hadi usettle kutendwa na kutenda ni lazima, bila hivyo unakuwa hujakomaa.😉
Alituambiaga mme wake ndiye aliyembikiri!
Hivi miaka hii bado kuna watu wanatafuta Bikira?
Suprise hiizi bwana huwa zina madhara makubwa mapenzi yenyewe ya bongo mh
Na wapenzi wengine kwenye LDR hata wale wanaoishi mji mmoja hili la kufanyiana surprise linakuwa ni moja ya taratibu zao kwamba kama unataka kuja kwangu nifahamishe kabla siyo kujizukia tu bila taarifa.
Mkuu hapa tupo ukurasa mmoja, na ichukuliwe kuwa kwa kutoa taarifa ni namna moja tu ya kuonyesha ustaarabu-na pia kumwandaa mwenzio kisaikolojia na kimazingira pia![/QUOTE]
Na pia kuondoa evidence yoyote ya away matches na ukware mwingine wote!
Yaani mnasema kufumaniana! Je ufunge safari tangu Arusha mpaka Iringa ( Yes i know the geog of TZ LOL) kisha umfumanie mwenza na mwanamume/mwanamke mwingine.....hapo utapona kweli????
bado sijajijibu kibweka ni kwe nini mtu uamue kufanya suprise kwa mwenzio bila kumpa taarifa??
Ina mvuto zaidi !!? Or
Mkuu hapa tupo ukurasa mmoja, na ichukuliwe kuwa kwa kutoa taarifa ni namna moja tu ya kuonyesha ustaarabu-na pia kumwandaa mwenzio kisaikolojia na kimazingira pia![/QUOTE]
Na pia kuondoa evidence yoyote ya away matches na ukware mwingine wote!
Yaani mnasema kufumaniana! Je ufunge safari tangu Arusha mpaka Iringa ( Yes i know the geog of TZ LOL) kisha umfumanie mwenza na mwanamume/mwanamke mwingine.....hapo utapona kweli????
Shishi umenifurahisha
Hivi najiuliza kwa wale wanandoa unajikoki haswa ili ukamfumanie mwenzako halafu iwe nini? muachane au? na kwa wale wenye ndoa zisizotenganishwa hadi kifo inakuwaje ah!
Shishi umenifurahisha
Hivi najiuliza kwa wale wanandoa unajikoki haswa ili ukamfumanie mwenzako halafu iwe nini? muachane au? na kwa wale wenye ndoa zisizotenganishwa hadi kifo inakuwaje ah!
Nimepapenda apo MJ1....thats the right question..ndo maana nasema 'intent' ni muhimu sana...jipime mwenyewe kwanza kwa nini ufanye hivo? ni kwa mapenzi? au ndo 'umeshachoka'?🙄
Shishi umenifurahisha
Hivi najiuliza kwa wale wanandoa unajikoki haswa ili ukamfumanie mwenzako halafu iwe nini? muachane au? na kwa wale wenye ndoa zisizotenganishwa hadi kifo inakuwaje ah!
u know surprise ina mambo yake...waweza kuwa na nia ya kusurprise bila kumfumania lakini wengi wetu tutadahani duh!!! huyu haniamini ndio kaja ghafla bin vup! bila kutoa taarifa to cathc u with your pants down...literaly if you like!
Mkuu hapa tupo ukurasa mmoja, na ichukuliwe kuwa kwa kutoa taarifa ni namna moja tu ya kuonyesha ustaarabu-na pia kumwandaa mwenzio kisaikolojia na kimazingira pia![/QUOTE]
Na pia kuondoa evidence yoyote ya away matches na ukware mwingine wote!
Yaani mnasema kufumaniana! Je ufunge safari tangu Arusha mpaka Iringa ( Yes i know the geog of TZ LOL) kisha umfumanie mwenza na mwanamume/mwanamke mwingine.....hapo utapona kweli????
Shishi, inategemea na shock absorbers za mtu huyo. Kweli mapenzi huwaumiza wanawake na waume pia kama wamegundua kitu kama hiki kutoka kwa mwenzi wao waliyempenda, lakini kama una akili zako nzuri ni bora kuchukua 50 zako na kuondoka na majonzi yako badala ya kufanya kitu ambacho unaweza kujuta for the rest of your life.
Sahihi mkuuhayo ma suprise yana raha na karaha zake, huyo mkaka amejuta mpaka bac...