iyokichiku
Member
- Oct 30, 2023
- 36
- 70
Siyo kweli aliyetoa hao ng'ombe wa tano ni Makonda, (ni shabiki wa simba) hata simba wana ng'ombe mmojaHizi ni habari za uhakika kabisa kutoka chanzo kinachoaminika kwamba SUPU DAY ya leo ni ukamilishaji wa maelekezo ya mganga wa yanga ambapo baada ya ushindi wanatekeleza maagizo hayo kwa jina la SUPU DAY.
Chonde chonde wanasimba msishiriki kwenye upuuzi huo.
SawaSiyo kweli aliyetoa hao ng'ombe wa tano ni Makonda, (ni shabiki wa simba) hata simba wana ng'ombe mmoja