Supu na michemsho kwenye mabaa ya Dar es salaam hazina kiwango ukilinganisha na tunazokula mikoani.

Supu na michemsho kwenye mabaa ya Dar es salaam hazina kiwango ukilinganisha na tunazokula mikoani.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Huwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Husikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.

Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa

Sijui tatizo nini juu ya supu za Das laam?
 
Huwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Huzikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.

Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa

Sijui tatizo nini juu ya supu za Das laam?
Nyingine sio ng'ombe ni mbwa, paka, kuwa makini mkuu maisha ni mapambano.
 
Kweli kabisa nilipigwa supu kuku pale hugo miembeni.
ViaZi na ndizi kibao huyo kuku sasa.
Sijui hata nilikula nini nilikunywa hiyo mimajimaji tu.
Halafu muhudumu anaringa na tai yake mi namwangalia tu.
Bahati mbaya yake meneja aliyemuajiri ndio alikua ananiuzia supu zamani.😂😂😂.
Akaja kunisalimia aliniona e bana dogo muhudumu wacha ashtuke.
Kaja kulinda goli mi ndo kwaanza namwambia meneja avute kiti kinywaji yake ipo.
Dogo katumwa tena akaambiwa bili kwa meneja kazidi kutetemeka.
Nikamshtua tu kwamba nshamaliza wewe km ukiagiza hiyo mpya.
Sasa yale maongezi ukaribu na yule meneja yalimtetemesha sana yule dogo.
Kumbe hajui mi naongea na bwana mdogo meneja story tu za zamani
Yaani nilikujakuta.bili 13000 + kinywaji soda na maji 16000.
Nikaona hizi njaa tu niliwapa 20 nikatimka kwa wana migo nikagonga menyu la ajabu buku 10 tu.
 
Wekeni picha basi za Ulinganisho ili Watu wa mbali nasi tuone
 
Mbeya supu ya kuku ikizidi sana 5000, ya ng'ombe 2000 ukiongeza na chapo mbili wanakutoka watatu tu na tumbo linakuwa full.

Hapo break point iyunga, mchana unakanyaga matunda halafu jioni uko mbalizi kwa halima stand then unaenda kumalizia siku kwa mushi, mbeya kwa vyakula sijawahi kuona aseee watu wanachoma nyama haijawahj kutokea
 
Huwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Huzikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.

Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa

Sijui tatizo nini juu ya supu za Das laam?
Ukweli,kwa Dar hizi supu za 1500,2000,ni balaa,unaweza kukuta nyama imeoza,au huwa wanapewa nyama iliyokaa kwenye friji kwa muda mrefu,inakalibia kuharibika,
Pale bandarini sehemu ya kupandia boat za Zenj,niliwahi kulishwa nyama iliyooza kabisa
 
Mbeya supu ya kuku ikizidi sana 5000, ya ng'ombe 2000 ukiongeza na chapo mbili wanakutoka watatu tu na tumbo linakuwa full.

Kuna chimbo moja uyole pale vibar vya pale chini zinapopaki costa za hakuna kulala buku tano kuku wa kienyeji unawekewa na firigisi kuna maza bonge hivi anatumia na ndizi tatu safi kabisa, ukishindwa kuna wasomali hapo hapo uyole buku mbili jero unaweza kushinda unajamba tu
 
Ukweli,kwa Dar hizi supu za 1500,2000,ni balaa,unaweza kukuta nyama imeoza,au huwa wanapewa nyama iliyokaa kwenye friji kwa muda mrefu,inakalibia kuharibika,
Pale bandarini sehemu ya kupandia boat za Zenj,niliwahi kulishwa nyama iliyooza kabisa

Halafu kuku tunalishwa makuku ya kisasa bila woga kabisa
 
Ukiwa mgeni ni rahisi kunywa supu sehemu sio,ila Kwa mwenyeji lazima atajua chimbo lenye quality soup..uliza wenyeji wakuambie sehemu za supu. Eti hapo juu kuna jamaa kanywa supu sehemu ya kupandia boti za zenji 😂😂😂😂 sasa sijui alitegemea nini
 
Uwe unatembelea na mikoa mingine Sio unaenda Iringa peke yake Huo ni Ubaguzi.
 
Kuna chimbo moja uyole pale vibar vya pale chini zinapopaki costa za hakuna kulala buku tano kuku wa kienyeji unawekewa na firigisi kuna maza bonge hivi anatumia na ndizi tatu safi kabisa, ukishindwa kuna wasomali hapo hapo uyole buku mbili jero unaweza kushinda unajamba tu
Hapo kwa wasomali ni panaitwa Bex cafe na hapo kwenye hakuna kulala panaitwa P square ndio hata mm comment yangu imepalenga hapo, pembeni yake pia kwa Omary supu bei hiyo hiyo ya uchumi wa kati na imezingatia kushiba.

Mbeya msosi sio kipaumbele maana karibia migahawa yote(iwe high class au ya vichochoroni) msosi bei inaanzia buku tena unashiba.
 
Hapo kwa wasomali ni panaitwa Bex cafe na hapo kwenye hakuna kulala panaitwa P square ndio hata mm comment yangu imepalenga hapo, pembeni yake pia kwa Omary supu bei hiyo hiyo ya uchumi wa kati na imezingatia kushiba.

Mbeya msosi sio kipaumbele maana karibia migahawa yote(iwe high class au ya vichochoroni) msosi bei inaanzia buku tena unashiba.

Kabisa Mbeya, pako vizuri sana
 
Back
Top Bottom