Nimesoma advance mbalizi, kuna siku nimeingia mgahawani na mshkaji tukanunua wali wa buku(sahani mbili) yaani na uchu wa wanafunzi kwenye wali lakini bado hatukufanikiwa kumaliza 😂Kabisa Mbeya, pako vizuri sana
Supu za kwwnye bar ni majanga tupuHuwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Huzikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.
Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa
Sijui tatizo nini juu ya supu za Das SupUlaam?
😂🤓Kuna chimbo moja uyole pale vibar vya pale chini zinapopaki costa za hakuna kulala buku tano kuku wa kienyeji unawekewa na firigisi kuna maza bonge hivi anatumia na ndizi tatu safi kabisa, ukishindwa kuna wasomali hapo hapo uyole buku mbili jero unaweza kushinda unajamba tu
Tmk kisuma miaka ya nyuma kidogo. Zungumzia 2010 kurudi nyuma supu ilikuwa ahueni.Nakumbka zamani kiria bar kinondoni supu saa moja tu asubuhi iko tayari watu tupo Hapo unapiga supu na unashushia safari zako 2 mapema tu
Pr Camp walikuwa na supu nzuri pia
Hugo mwembe jini pale mchemsho wao
Ulikuwa safi
Opposite na makaburi ya kinondoni sahv breakpoint kuna jamaa alikuwa na supu safi sehemu Ilikuwa ndg Ila watu walikuwa wanajaaa
Tmk kisuma walikuwa vzr nao
Siku hizi ulipuaji tu hakuna kitu
Supu inajazwa mimaji tuuuuu
Ova
Mikoani tumezoea kula ndizi huku Dar ni chipsi tuasante kwa taarifa neeeeeeeeext
mliekewa hamira !!Nimesoma advance mbalizi, kuna siku nimeingia mgahawani na mshkaji tukanunua wali wa buku(sahani mbili) yaani na uchu wa wanafunzi kwenye wali lakini bado hatukufanikiwa kumaliza 😂
Bora ujinunulie nyama ujitengeneze mwwnyewe tuTmk kisuma miaka ya nyuma kidogo. Zungumzia 2010 kurudi nyuma supu ilikuwa ahueni.
Kweli wewe ni ''mtu wa mikoani''. Karne hii bado unasifia supu zenye mafuta mengi na harufu! Dunia ya kistaarabu walishapita huko. Vyakula la kijanja ni vile visivyo na mafuta mengi na vinatengenezwa kiutaalam kwa kuwekwa viungo kiasi ambacho harufu na ladha inakuwa nzuri sana! On serious note: Sisi huku Afrika tunapenda michemsho yenye mafuta na nyama isiive kupitiliza.Huwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Huzikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.
Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa
Sijui tatizo nini juu ya supu za Das laam?
Si kweli Mbeya hakuna hiyo michezo maana hata mchele unaanzia jero.mliekewa hamira !!
Sawa mutu ya Grinisiti 🙂Si kweli Mbeya hakuna hiyo michezo maana hata mchele unaanzia jero.
Tafuta pesa kijanaHuwa nashangaa sana nikiwa kwenye ziara zangu huko jijini Dar es salaam. Utakuta supu ya ng'ombe au kuku inauzwa buku nne mpaka sika. Tena kwenye baa za kiwango kikubwa lakini ukionja unakuta hazina kiwango kabisa. Huzikii harufu ya ya supu ya kuku au ng'ombe. Supu yenyewe majimaji tu yaani haina kiwango kabisa.
Lakini mikoani huku unakuta supu ya ukweli na inavutia kabisa na ladha ya asili lakini bei nzuri kabisa na ukiwa na Hangover unainjoi vizuri kabisa
Sijui tatizo nini juu ya supu za Das laam?