Supu na michemsho kwenye mabaa ya Dar es salaam hazina kiwango ukilinganisha na tunazokula mikoani.

Siku moja kulikua mechi ya Simba na Yanga, tiketi zilikua zinauzwa pale buguruni sheli.
Mimi naishi mbezi mwisho, nikaona ninunue tiketi pale, niende uwanjani nikiwa na uhakika.

Baada ya kupata tiketi, na kwakua bado asbuhi ya saa tatu, nikaona nitembetembee kidogo buguruni, sababu mara nyingi napita barabarani tu.
Nilitoka nyumbani bila kupata chai, nikaingia sehemu nipate chochote, ni bar, nikaagiza Supu, aise ile Supu walisema ya ng'ombe, ila haikua na ladha ninayoijua kabisa, yaani pale nilikula mbwa Live, kiasi kikubwa cha nyama nilimtupia paka.

Na kuna siku nilimwagizia jamaa ya anunue mishikaki, kuja kula ile mishikaki, ukitafuna ina sikIka grii grii ila mitamu sana na laini, nikatema nikaachana nayo, yaani yule alikua paka Live.
 
Hujitambui na hujui supu za ukweli. Unajua supu za ukweli zilivyo? Au umezoe hayo maji ya moto unayokula siku?
 
kuna sehemu migomigo bar pale mchemsho unakuja kwenye hotpot
 
Ulienda kupata supu kimboka bar mkuu? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ladha ya Mifugo ni chakula mjuba, Dar mbuzi wanakula samaki na ndizi rosti unategemea ladha gani ukutane nayo.lakini Dar akili kumkichwa michemsho mingi unawekewa ladha na kile kiungo chenye rangi nyeusi
 
Ndaza
Vibudu
Nyama mbovu
Nyama ya wanyama waliogonjeka nk
 
Umeandika kama bado una hangover!!! Ebu ongeza kwanza supu akili ikae sawa.
 
Kuna chimbo nilikuaga nagonga supu pande za buguruni supu ni mia tatu tu ila haina nyama hata moja ikabid nimuulize mana muuza nyama unamuuziga nan kila siku tunaish na supu bila kuona mfugo ?
Akaniambia yeye huwa hanunui nyamaa anaendaga buchani kuchukua gogo la kukatia nyama ndio analichemsha usiku kucha asabuh wahuni tunapata supu, tulilia kama watoto siku ile sijawah kuona wahuni wanalia namna ile
 
Panaitwa makasini Apo zinapopaki akuna kulala na kwa wasomali Apo ni kwa Bex stand ya yukuyu....karibu uyole
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…