Supu ya ng'ombe inanishangaza, nikinywa nakuwa mchovu

Supu ya ng'ombe inanishangaza, nikinywa nakuwa mchovu

hayolae

Senior Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
180
Reaction score
865
Jamani imekua ikinitokea Mara nyingi nikinywa supu ya ng'ombe.

Nakua mchovu sana.hadi nimeanza kuogopa kunywa supu.je Shida inaweza kua nini.??? hata hapa naandika nikiwa Niko mchovu sana baada ya kunywa supu ya ng'ombe.
 
Very sad, sijui kwa nini supu ya ngómbe imekukataa, rudi tu kwenye rosti la kitimotona ndizi ufaidi neema za Hilary
 
mafuta yamezidi mwilini mwako kapime lipid profile ujue mkuu
 
Jamani imekua ikinitokea Mara nyingi nikinywa supu ya ng'ombe.

Nakua mchovu sana.hadi nimeanza kuogopa kunywa supu.je Shida inaweza kua nini.??? hata hapa naandika nikiwa Niko mchovu sana baada ya kunywa supu ya ng'ombe.
Utakuwa unakunywa supu ya mapupu au makwasukwasu.Supu ya ng'ombe halisi haina shida yoyote.
 
Back
Top Bottom