Jamani imekua ikinitokea Mara nyingi nikinywa supu ya ng'ombe.
Nakua mchovu sana.hadi nimeanza kuogopa kunywa supu.je Shida inaweza kua nini.??? hata hapa naandika nikiwa Niko mchovu sana baada ya kunywa supu ya ng'ombe.
Jamani imekua ikinitokea Mara nyingi nikinywa supu ya ng'ombe.
Nakua mchovu sana.hadi nimeanza kuogopa kunywa supu.je Shida inaweza kua nini.??? hata hapa naandika nikiwa Niko mchovu sana baada ya kunywa supu ya ng'ombe.