Supu ya pweza na uwezo wa kimapenzi

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Ndugu zangu nimekoma. Juzi nilikula supu ya pweza, basi Bwana Mdogo wangu karibu achomoke kwenye makazi yake nikingali kufika nyumbani. Yaani mpaka alivunja kufuli, tena Solex original!

Sirudii tena!
 
Kwahiyo tukuchangie kununua mpya ama...?
 
SI UNGECHEPUKA KWA MACHENI AU SAN SIRO..... UKA :laser:
 
Hii nayo kali kashaija bwana, hii ukienda na alfu 50000 bar utachangiwa sana aisee
 
kuna mahali nimeona kitu,kumbe kweli:wink2:
 
Supu ya pweza sawa, lakini nakushauri kaanga mbegu za maboga na uwe unatafuna kila siku, pia kula ubuyu kwa wingi hapo kaka jogoo mpaka miaka 90 anawika tu kokolikooooo, welaaaaa!

yaani hapo urithi wa babu hadi kwa vitukuu , vilembwe na vining'ina n.k
 
Ndugu zangu nimekoma. Juzi nilikula supu ya pweza, basi Bwana Mdogo wangu karibu achomoke kwenye makazi yake nikingali kufika nyumbani. Yaani mpaka alivunja kufuli, tena Solex original!

Sirudii tena!

Ngoja nikajaribu.
 


aisee kumbee! Nimepata hiyo...

 
Ndugu zangu nimekoma. Juzi nilikula supu ya pweza, basi Bwana Mdogo wangu karibu achomoke kwenye makazi yake nikingali kufika nyumbani. Yaani mpaka alivunja kufuli, tena Solex original!

Sirudii tena!

Bora usirudie! hiyo inaywewa kw mipango .....sa we unakunywa tuuuuu! unafikiri break fast hiyo.
 
Supu ya kuku wa kienyeji, Nitamu sanaaa. Pweza ni noma hivi wanawake wakinywa inakuwa kama wanaume?
 
Supu ya kuku wa kienyeji, Nitamu sanaaa. Pweza ni noma hivi wanawake wakinywa inakuwa kama wanaume?

Ha,haaa mi nafikiri ni fikra za mtu ndio zinamfanya aone ivyo je imeshasibishwa na wataalam?
 
Ha,haaa mi nafikiri ni fikra za mtu ndio zinamfanya aone ivyo je imeshasibishwa na wataalam?

Sidhani aisee maana kila mtu anasifia hakumbuki akiwa anaenda kunywa tayari akili ishajiwekea jambo hilo so hamu inakuwepo tu kabla hata supu haijafika mezani
 
Sidhani aisee maana kila mtu anasifia hakumbuki akiwa anaenda kunywa tayari akili ishajiwekea jambo hilo so hamu inakuwepo tu kabla hata supu haijafika mezani

Kwa mengi yameongelwa ila nachujua kama utumii lishe bora na mazoezi na kutopenda kufanya kila wakati kwanini usiwe na nguvu za kukutosha?
 
Kwa mengi yameongelwa ila nachujua kama utumii lishe bora na mazoezi na kutopenda kufanya kila wakati kwanini usiwe na nguvu za kukutosha?

Vyips mayai na vikuku vya kizungu vinawacost watu wengi, ugali kuleni na mlenda, chai kwa mihogo na viazi vitamu ahh hili ni janga la taifa bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…