Supu ya pweza na uwezo wa kimapenzi

lizikeni na maumbile mliyopewa mna Mungu zaidi mtajiaibisha tu hakuna jipya
 
hivi hii kitu ina ukweli ndani yake au ni imani tu!<br />
leteni ukweli wakuu

Hicho no kitu ni kweli, ila upate juice ya pweza halisi sio ile ya kuchakachuliwa mabarabarani. Nenda ferry, nunua pweza wako,then muandae vizur home, kunywa ile supu halisi ya mwanzo pale unapomtoa jikoni, then kunywa.... halafu utalipata jibu......!
 
Uwa natumia samaki aina ya PWEZA kama mboga nyumbani. Je, ina mazala yoyote katika 6x6 au ina ongeza mambo yetu yaleeeeee. je nikweli Wadau?.

Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.........ni new topic naomba tuijadili sote kwa pamoja
 
Sijawahi kusikia kama in mazala but kuna watu wanapata allergy and I don't think inazulu kwenye 6x6.
 
Wewe serengeti boyz unatafuta nini huku! Peeza ni nini?? Acha kabisa kula wana madini ya uranium/nuklia!
 
Wewe serengeti boyz unatafuta nini huku! Peeza ni nini?? Acha kabisa kula wana madini ya uranium/nuklia!

acha mzee mkuu mi serengeti, bali malanyingi sipeluzi mpaka w-end, so mi serengeti boy.

toa ushauli wako mkuu, ii mada ni muimu kisela
 
Haina madhara yeyote yale unless uwe na allergy na calsium/zinc! Aiongezi kitu chochote kwenye 6x6 ni imani tu.
 
Tatizo la nguvu za kiume limekuwa janga,mtakuja kula hadi visivyolika wakuu
 
Nasikia mkuu wa kaya anaitumia sana. Yaani kila akisafiri nje Salva anaoneka kabeba vidumu vya hiyo supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…