Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni me je umeshawai kunyonya papuchi ??Nauliza aliyewahi kunywa inaradha gani?
Hawatengenezi supu tamu ila ile dawa kwa wagonjwa, sasa kama wewe ulienda kunywa kwa uroho wako ukijua ni supu mjarabu na murua ngoja ukome, na siku zote dawa huwa na ladha mbaya labda dawa za watoto angalau.Supu ya pweza ni mbaya. Ina ladha ya hovyo hovyo tu halafu ina harufu mbaya.
Ilishanishinda mimi!
kweli kabisa, ila watu wanajilazimisha tu sababu ya story zao za abunuas.Supu ya pweza ni mbaya. Ina ladha ya hovyo hovyo tu halafu ina harufu mbaya.
Ilishanishinda mimi!
dawa ya ugonjwa gani?Hawatengenezi supu tamu ila ile dawa kwa wagonjwa, sasa kama wewe ulienda kunywa kwa uroho wako ukijua ni supu mjarabu na murua ngoja ukome, na siku zote dawa huwa na ladha mbaya labda dawa za watoto angalau.
Nimekupenda bureIna ladha ya supu na pweza.
Inatibu ukosefu wa nyege mwilini..![emoji41]dawa ya ugonjwa gani?
i seeInatibu ukosefu wa nyege mwilini..![emoji41]
Hahahahaha penda pia.Nimekupenda bure
Hapana usiseme hivyo.... pweza mtamu sana yeye na supu yake kama hujazoea au hujapata wanaojua kuipika lazima uichukie ila daaah weka mbali na watoto.kweli kabisa, ila watu wanajilazimisha tu sababu ya story zao za abunuas.
aiseee na ww ni mpenzi wa hiyo kitu?[emoji30]Hapana usiseme hivyo.... pweza mtamu sana yeye na supu yake kama hujazoea au hujapata wanaojua kuipika lazima uichukie ila daaah weka mbali na watoto.
yummy yummy.
Sanaaaaaaaa,aiseee na ww ni mpenzi wa hiyo kitu?[emoji30]
mmmh! asante lkn hapana.Sanaaaaaaaa,
Karibu one day tukutayarishie unaweza kusahau njia ya kwenu.... lol
Sasa mimi wa kuwekwa viungo simpendi ila wa kukaangwa au kuchomwa uwiiii jamaniii mate yamejaa weekend hii ngoja nifanye mambo.mmmh! asante lkn hapana.
labda kama yupo wa kuungwa na viungo au wa kuchoma [emoji39][emoji39]
hahaha [emoji28][emoji23][emoji28]wewe ashakuingia damuni huyo mdudu sio bure....Sasa mimi wa kuwekwa viungo simpendi ila wa kukaangwa au kuchomwa uwiiii jamaniii mate yamejaa weekend hii ngoja nifanye mambo.
Weeeeeh sio mdudu huyu ni SAMAKI.hahaha [emoji28][emoji23][emoji28]wewe ashakuingia damuni huyo mdudu sio bure....
dooh![emoji44][emoji44] ndio mwekundu hivyoo..Weeeeeh sio mdudu huyu ni SAMAKI.
tutake radhi kwanza.
![]()
![]()
Yummy Yummy.
Wanaweka food colour ila sio kama ndio mwekundu hivyo.dooh![emoji44][emoji44] ndio mwekundu hivyoo..