Supu ya Uswazi...

Haujakoma?Ngoja uumwe tena tumbo.Linda sana tumbo lako.Penda kula viazi vilivyochemshwa,mtindi,maziwa fresh,juice za matunda mbalimbali,dona,karanga mbichi,matunda,mboga za majani,nafaka za ngano,mtama,mihogo,supu ya samaki na kadhalika.
 
Upo Chako Ni Chako
Ama Msalato!!πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
 
Haujakoma?Ngoja uumwe tena tumbo.Linda sana tumbo lako.Penda kula viazi vilivyochemshwa,mtindi,maziwa fresh,juice za matunda mbalimbali,dona,karanga mbichi,matunda,mboga za majani,nafaka za ngano,mtama,mihogo,supu ya samaki na kadhalika.
Rafiki hivi vyakula ulivyoorodhesha vinatoa corbon monoxide hatari sana baada ya kuchakatwa tumboni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…