donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli mkuu, nitazingatiaHaujakoma?Ngoja uumwe tena tumbo.Linda sana tumbo lako.Penda kula viazi vilivyochemshwa,mtindi,maziwa fresh,juice za matunda mbalimbali,dona,karanga mbichi,matunda,mboga za majani,nafaka za ngano,mtama,mihogo,supu ya samaki na kadhalika.
Kula MaishaNi kweli sababu tunaelea, according to the law of floatation
Cinema Ipo Pale Jirani Na BOTAhsante Kwa kunijuza
Mi mpuuzi haswaaJamaa bonge la mpuuzi utakunywaje supu na juice.....!!?
Hahaha, platnum nduguUpo Chako Ni Chako
Ama Msalato!![emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
Umeonaaa eeeeh? WashambaaaKula Maisha
Achana Na Wale Mupe....Muruke....[emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji3]
Nilifikiri ungemjibu kwa maneno makali! Bravo bro [emoji122][emoji122][emoji122]Ni kweli sababu tunaelea, according to the law of floatation