mi nlivyoona heading nikaandaa umombo wangu,kufungua kusoma,toobah! Nakuta BAKITA.c ungeandika tu kichwa cha hbr cha kiswahili? Au dream zako ndo zlikudrimisha hivyo?
Weka sifa zako umri,elimu,shughuli unayofanya,ulipo,maana hili tangazo lako ni km barua isiyokua na adrec,ujulikane ww ni mwanaume,mvulana,student au pupil,alafu msipopata mnaishia kulalamika,na cfa za umtakae pia,ni ushauri tu!