Surprise kwa wanaume!!!

Its not a bad idea at all....lakini kama hamtumii gari moja., ni vema utafute njia ya kuaandaa utaratibu wa kutumia gari moja, na kuandaa nguo za kubadilisha baada ya dinner na kwenda nazo kazini kesho yake....napendekeza dinner hiyo uifanyie hapo hapo hotelini...na jicheleweshe kumaliza dinner yenu huku ukijua kuwa mnalala hapo hapo.....!!
enjoy ur hubbys birthday.
 

Una utani wewe @St Paka Mweusi, unataka mume wake aanze kumdunda mwenzie makwezi akijihami kupelekwa MabwePande?
 
it's a creative surprise but don't forget to put in place contingency plans in case the unexpected happens (swali la kizushi: hivi kikaragosi chekundu kikizuka ghafla, bado kutakuwa na haja ya kulala hotel ya bei mbaya teh teh teh)
hahahahaaaa thanx alot, nlikuwa sijaweka in case anything happens lol! kikaragosi chekundu kikizuka gafla! mmmmh! story itakuja baada ya birthday
 

Tuna watoto sasa tuwe nao for dinner au mpaka hotelini? coz miundombinu ya dar foleni kuwaleta watoto anyways, thanx will check on that japo sikuwafikiria let me put on my list
 
thanx will give feedback after the eveny
 
thanx man
 
Supprise pekee amabayo mumeo hatoisahau na itafanya akupende milele na milele ni T.I.GO.Hakika utaukumbuka ushauri wangu.jaribu hatowaza kukuacha.nakutakia supprise njema!

Mmmh,dunia ina mambo!
 

asante sana tunatumia gari moja nahuwa yeye ananidrop mm ndo anaenda job ila that day ntamdrop mm ili nikamchukue jioni, kwenye nguo nilishaweka ntazibeba na kuziweka kwenye buti kwa siri bila yy kujua, gud idea dinner iwe hapohapo hotelini tutakapolala thanx much
 
Una utani wewe @St Paka Mweusi, unataka mume wake aanze kumdunda mwenzie makwezi akijihami kupelekwa MabwePande?

heheheeeeee mechekajeee hahahaaa
 
Reactions: LD
Ukitaka kuharibu mpango wako mzuri anza kufikiria watoto. Hao watoto mnao siku zote... hii ni special birthday ...achana na watoto. Just you and him. Mnahitaji full concentration... sasa mkianza watoto mtaalika mpaka mawifi.

Kama wanajali sana birthday ya dady wao basi utanunua keki mfanye belated birthday nyumbani... hila kwenda nao hotel ni BIG NOOOO

Nimepiga picha jinsi jamaa atakapogoma kwenda kazini jumamosi. Lol. Mbona atajitolea kulipia another night.

Tuna watoto sasa tuwe nao for dinner au mpaka hotelini? coz miundombinu ya dar foleni kuwaleta watoto anyways, thanx will check on that japo sikuwafikiria let me put on my list
 
usije nunua kesi "hii hotel uliijuaje" siku ya furaha ikaingia mchanga.

kweli bana, mwanaume mwingine anaweza kukubadilikia ukasikia: 'hapa ndiyo wanaume zako huwa wanakuleta kufanya mambo yenu eeeeh'
 
Mkuu dola mia mbili pale,hapo hujala hujanywa,basi mrs aandae laki tano.
 

This sort of life is quite artificial and this is what causes the bongo dwellers to recess from advancement.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…