hawa wanaotaka wanawake wasi funge na kufuli( Dr.Isack Ndodi and the likes) ni wale waliozea kula bila kunawa, ogopa sana hilo wazo la kuacha kufuli, halafu kama siafu akiingia si atabomoa ikulu ya dhahabu~~~~~~~~~~
Dah hii kali..yaani Pedi, Chupi, Skin tight, Jeans...itapata habari yake..umesahau ped nayo sijui ya nini??
umesahau ped nayo sijui ya nini??
LOL.hata mie sielewi wanavaaga za nini.
mMH, cheusimangala wewe huwa huvai? basi una bahati ya kuepukana na ile kadhia ya kila mwezi.
Tangu tuanze kuvaa nguo rasmi hata hatuna miaka 150.
Hata tulipo anza kuvaa tulifunika sehemu muhimu tu.
Tukirudi miaka 100 tu Neno nguo za kubana nguo fupi litakuwa halina maana.
Wote tutatembea VIWENGELESI nje nje hakuna aibu wala nini.
Nionavyo mimi kule tuliko toka ndiko hukohuko tuendako sioni wa kutuzuia.
mMH, cheusimangala wewe huwa huvai? basi una bahati ya kuepukana na ile kadhia ya kila mwezi.