JembeNaNyundo
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 533
- 652
Nimekuwa natatizwa sana na nyaraka za serikali kuhusiana na mavazi, hususani Waraka wa Utumishi Na. 1 wa mwaka 1971 unaohusu mavazi ambao ulitokana na mwongozo uliotolewa na Chama cha TANU kuhusu mavazi na pia waraka wa Utumishi wa Umma namba 3 wa mwaka 2007 kuhusu mavazi kwa watumishi wa umma ambao ulikuwa na maboresho madogo. Moja ya nguo ambayo sielewi ni kwanini inakatazwa ni suruali za jeans.
Ninajiuliza kuna sababu yoyote ya kukataza suruali ya jeans kuvaliwa kazini? Au ndio copy and paste?
Ninajiuliza kuna sababu yoyote ya kukataza suruali ya jeans kuvaliwa kazini? Au ndio copy and paste?