Vipo vya bei iyo ata mimi ninavyo nauza Ukitaka nicheki ila ni Skwata.Watu wamenunua 20 kwa 20 mitaa hyo kwa 7 m. Viwili kwa 14 m.
Sina maana ya kuharibu biashara yako ila nawasihi watu watembee na kuuliza...before acting (in ur own time). Maeneo yanashuka sana saa hivi.
Vipo vya bei iyo ata mimi ninavyo nauza Ukitaka nicheki ila ni Skwata.
Ndiyo bei huwa tunauza siku zote mkuu, Punguza ofu hela tutapata tu !!!
Itakua kwenda kwenye Viwanja Mkuu.Huo umbali ni kutoka njia nne kwenda wapi?