Survival of the fittest, ukilemaa umeliwa

duuuh hii bila shaka ni kwenye mikutano ya JK..maana mnacheza muziki kwanza,mnagonga pilau then ndo kwenda kumsikiliza bwana miradi ....
 
Hao wababa wazima hawana manners kabisa za mlo!...wanakula ka nguruwe bana!
 
no table manners!
kwani wewe umeona table hapo?
Ndo maana huwa wanakula wakiwa wamekaa chini..............PJ amesema wanakula kama nguruwe!! mimi :tape::tape:
 
ndio itakavyokuwa chadema wakiingia madarakani

Nafikiri hawa walikuwa katika moja ya kampeni za CCM baada kudanaganyika wanapewa ahadi ya msosi kupoza machungu ya kukaa juani muda mrefu
 
Hiyo mifupa(mbavu) sio kiti moto kweli? na walaji wako ndani ya kanzu....inaonekana kama ni ofisi ya mtu maana kuna carpet la nguvu na mahotpot hayo...Manji nini?
 
Picha inanitia kichefuchefu, na kwangu haina maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…