Suv nzuri na bei rahisi

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
wakuu habari zenu??
Wakuu kuna mtu ninayefanya naye kazi alikuwa anataka kununua suv yeyote nzuri ila kwa bei rahisi sasa alikuja kuniuliza nimshauri anunue nini ila nikasema ngoja niilete kwa wana forum kwa sababu nina amini hapa atapata ufumbuzi
so wakuu swali langu ni suv gani ni nzuri na atapata kwa bei rahisi??
 

Nadhani inabidi yeye atuambie kwanza choice zake, this is too wide atapata majibu 1000 from different people na atapata shida kuchagua pia. kawaida mtu anayetaka kununua chochote huwa tayari ana kitu anafikiria kichwani halafu anatafuta ushauri ili kuondoa doubts zake.
Asante
 
Mwambie anunue Rav 4, Ina 4wd, spare zimejaa, mafundi kila kona... na very nice car... huko kungine atakuja kujuta bure na kama alinunua kwa ushauri wako basi jiandae kwa lawama....
Magari yanataka umakini sana, ukikosea hata kuuzika mengine hayauziki... Hapa mjini wanayaita ndoa za kikristu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…