Car4Sale Suzuki carry (kirikuu) inauzwa. Iko kinyerezi Dar

Car4Sale Suzuki carry (kirikuu) inauzwa. Iko kinyerezi Dar

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Haina tatizo lolote.

Gari ya kuwasha na Kuondoka baada ya Malipo.

Bei 4.million Net. Dalali unanipa elfu 15 tu ya Bando la Mwezi.

wahisha biashara achana na comments 0713096076

IMG-20220123-WA0006.jpg
IMG-20220123-WA0005.jpg
IMG-20220123-WA0004.jpg
IMG-20220123-WA0003.jpg
IMG-20220123-WA0002.jpg
IMG-20220123-WA0001.jpg
 
Tangazo lako halijitoshelezi,sio kila mtu anayajua magali,tunatak kujua uwezo wa ingen pia tuyone, tuone mataili yana ubora gani, tuambie kama kuna tail ya akiba, tuambie kuhudu bima nk, tuambie imetembea kilometa ngapi? Eleza sifa mbadala za gari kama auto ina 4×4 tuone siti ziliivyoisha nk
 
Back
Top Bottom