Kwa Ambaye ni Fundi naomba athibitishe.
Nasikia kua hizi Vitara Escudo udhaifu wake uko kwenye Miguu, yaani spear za miguu huwa rahisi kufa.(Bushi, Cv joints, bearings nakadhalika...)
AMAPIANO x 7Acha kupangia watu maisha. Eti ukitaka kuuza. Kakuambia ananunua ili auze? Madalali mnawaza kuuza tu (joke)
ShatashataNiice
swali la kinyonge kwa tycoon wa jf lakini wengi umetusemea na umetuwakikllisha vemaWenzetu Hz hela za kuagiza Magari mnazipataje?