Nakuelewa pastor..kwa mwaka huo na pernaty uliyolipia hata bei yake kidogo inatakiwa iwe imechangamka. lakini 14m nyingi mkuu angalau 9m ningekuelewa vizuri sana yani hapo ungerudisha hela yako na faida ya kutosha.
kaaaah!! ndo mana mimi gari zangu naagiza toka Japan. Gari ya tangu Mzee Ruksa akiwa na hatamu mil 14, labda kama ni pesa ya Zimbabwe. Waungwana bonyezeni hapa kama mnataka usafiri. <http://www.autorec.co.jp/used-cars-list.php>