Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Kl milioni moja laki moja na elf hamsini au mimi ndio sijaelewaNdio bado gari lipo.
Anazingua huyu hamna gari iliofikisha hizo kilometa Tena kwa trips za mjini.
Alafu naskia mafundi wanao jua kutengeneza hizi gari na spare zake ni Adimu.......hili likoje kkHii bado iko bomba.. Its good to go.. Kama wamekupa bei nzuri ichukue.. Ukibadili plug itakuwa inatoa maji.. Hii unaweza kaa nayo miaka mingine kumi kama utaendesha vizuri.
Km laki moja na kumi na tano elf mzee sio milion moja laki moja na elf hamsini nichukue au niachane nacho??
Nataka ninunue hiyo gari kutoka japan mzee kwa safari za mjini yani kutoka kwangu ubungo mpaka lumumba kwenye kiduka changu kina km 115000 ndo maana naomba ushauri kwa mnaozijua hizi gariAnazingua huyu hamna gari iliofikisha hizo kilometa Tena kwa trips za mjini.
115000 chiefMilage milioni moja na laki na hamsin?
Wewe kama unajihoji hoji sana, achana na hizi gari.. Baki kwenye IST tu!Alafu naskia mafundi wanao jua kutengeneza hizi gari na spare zake ni Adimu.......hili likoje kk
Mimi sio mjuvi sana wa magari ila hio gari nimepata kuitambua kupitia kwa bro wangu ana harrier haijamaliza hata miez mitano akaniambia anataka hio jimny yako akaisifia sana nikaingia google nikaiona nikajisemea moyoni bro wangu ana zeeka (desire of age)π115000 chief
πππMimi sio mjuvi sana wa magari ila hio gari nimepata kuitambua kupitia kwa bro wangu ana harrier haijamaliza hata miez mitano akaniambia anataka hio jimny yako akaisifia sana nikaingia google nikaiona nikajisemea moyoni bro wangu ana zeeka (desire of age)π
Sifa zake ni jembe
Kapo juu (Mabonde kanafukia)
Wese kananusa tu
Kanataka kufanana na jeep!ππ
Nataka ninunue hiyo gari kutoka japan mzee kwa safari za mjini yani kutoka kwangu ubungo mpaka lumumba kwenye kiduka changu kina km 115000 ndo maana naomba ushauri kwa mnaozijua hizi gari
Nunua,watu wanaingia gari zina 175kmNataka ninunue hiyo gari kutoka japan mzee kwa safari za mjini yani kutoka kwangu ubungo mpaka lumumba kwenye kiduka changu kina km 115000 ndo maana naomba ushauri kwa mnaozijua hizi gari
Dah"shukran sana kaka ngoja nakuja pmUnajua, haya mambo ya magari yako hivi.
Sawa unaweza kukuta gari ina milleage kidogo mno, lakini unakuta ilishawahi kupata tatizo na ikawa na hitilafu kwenye engine (especially kipindi cha ,afuriko japan, gari nyingi huwa zinajaa maji sana)
So, usifungwe sana kwa wingi wa km ambazo inaonyesha imeshatembea ukahisi labda ni mbovu.
Pia, kama inakukosesha amani, usijali. Unaweza kutazama nyingine, kisha tukawasiliana, nikakuonganisha na mtu ambaye yeye huwa anasaidia kulipia ushuru. Nitawaonganisha, mtapeana mikataba , ya kisheria kabisa.. baadanya hapo, nenda bank kalipie kwenye account ya be forward iloyopo kwenye invoice uliyopewa na be forward.
Pindi gari lako litakapowasili Atakulipia ushuru pamoja na gharama zote za bandari za gari yako, kisha utamrejeshea kwa awamu mbili.
Hiyo cif, utakwenda mwenyewe kulipia kwa account ya kampuni unapoagizia (kama ni be forward utalipia kwenye account yao officially iliyopo kwenye invoice)
Enjoy!
liter 1 ulikua unatembea km ngapi chief?Jimny Wide ni gari nzuri sana! Nilishawahi kumiliki kwa muda wa miaka miwili. Ni reliable, good fuel consumption na pia hakichagui barabara.
Ukipaka uenjoy zaidi go for standard manual transmission
Sikumbuki sana but unaweza kugoogle.liter 1 ulikua unatembea km ngapi chief?