Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri fanya diagnosis...Habari wadau,
Nina kagari kangu Suzuki kei CC650, pia kana turbo. Tatizo lake kubwa ni kwenye mlima kanaishiwa nguvu kabisa.
Naomba ushauri wenu kabla sijaenda kwa hawa mafundi pasua kichwa.
Suzuki kei ni miongoni mwa gari ndogo yenye nguvu kubwa popote. Tatizo lake ni speed tu, kako taratibu.Acha utani mkuu. Toka lini hako kagari kakawa na nguvu kwenye mlima? Hako hiyo ni kawaida yake!
Haka kana turbo kabisa,nadhani Kuna kashida kengine.Suzuki kei ni miongoni mwa gari ndogo yenye nguvu kubwa popote. Tatizo lake ni speed tu, kako taratibu.
Ipo certified copy,kama unajua maana ya kadi ni ushahidi tu wa umiliki wa gari,lakini mtu anayehitaji gari na ana shida nayo anaweza kujiridhisha tra bila wasiwasi,akalinganisha majina gari iliyosajiliwa vs kitambulisho cha mmiliki,Na zoezi la kupata duplicate likiendelea,Asante kwa kuniomba ufafanuziUnauza gari afu haina kadi?!? How?!?
Kudaiwa nlikua namaanisha kudaiwa benki ndugu,haya madeni ya barabarani yanalipwa tu mara mojaAisee!! Kweli Gari haidaiwi [emoji85][emoji85][emoji85] wajinga ndo waliwaoView attachment 1310888
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!! Kweli Gari haidaiwi [emoji85][emoji85][emoji85] wajinga ndo waliwaoView attachment 1310888
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimerekebisha kwa faida ya mnunuzi serious.
Hilo ticket za barabarani inakuwa cleared tu sio kitu kikubwa
Kama kadi ya gari ni ushahidi tu wa umili taasisi za fedha zisingekua zinatoa mkopo kwa kutumia kadi ya gari huku wakijua kama unaweza kusema tu kadi imepotea na ukapata nyingne
Maliza kwanza kila kitu ndio uuze hamna mtu anaetaka kununua kitu cha mashakamashaka unaharakia nn
Mijicho,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimesema hili litalipwa kabla ya makadhianoKwann usiclear kila kitu ili Gari iwe clean ndo uanze kuiuza Mkuu...deni ni deni Tu haijalishi liwe la barabarani au la chumbani..
Sent using Jamii Forums mobile app