Suzuki kei

Suzuki kei

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
179
WADAU NAOMBA KUULIZA NA KUPEWA UFAFANUZI KUHUSU HII GARI AINA YA SUZUKI KEI kina cc650 nimekipenda nataka kununua....ni vyema kujua mawazo wale waliowah kikutumia au kuwanako au rafiki yako kuwa nacho.
Sanasana spare parts upatikanaji wake...mafuta sio tatizo naona kma 1litre = 24km hiki kigari...wasiwasi wangu spare na engine zake kama hazisumbui....
Maoni yenu mhm wadau nikichukue niliyonayo RAV4 inakula wese kwenye foleni mpaka natumia 20000 kwa siku!!

BF306389_8.jpg
 

Attachments

  • BF306389_1.jpg
    BF306389_1.jpg
    45.7 KB · Views: 139
Back
Top Bottom