Habari mafundi,naamini kweye hili group tuna mafundi wa kutosha.
Nina gari langu Suzuki swift inasumbua sana,linachemsha mara kwa mara.
Hii imetokea baada ya kufungua machime na kubadili ring.
Kwa mwenye naomba ushauri nifanye nini zaidi ya hapo?
Habari mafundi,naamini kweye hili group tuna mafundi wa kutosha.
Nina gari langu Suzuki swift inasumbua sana,linachemsha mara kwa mara.
Hii imetokea baada ya kufungua machime na kubadili ring.
Kwa mwenye naomba ushauri nifanye nini zaidi ya hapo?