Car4Sale Suzuki Van for sale 4.8m, pungufu unaongea

Nauza kwakuwa nahitaj pesa nifanyie biashara zingine
 
Gari utauza mkuu, sijawahi kuwa na mashaka na mali zako ulizowahi kuleta hapa
 
Mkuu kwanza nmependa jinsi ulivyo wakilisha biashara yako, hongera sana kwa ku cover maeneo yote japo hujagusia kuhusu Ac ukizingatia mji huu na joto.
Naamini soon utapata mteja mimi pia ningependa kulinunua ila nmekutana na vikwazo viwili japo cha kwanza ndicho cha msingi zaidi, mosi sina pesa ya kutosha na pili hiyo namba Caf mana si namba rafiki kwa upande wangu
 
Nimekuelewa mkuu AC inafanya kazi na pole kwakuwa na aleji na nambaCAF
 
Yaani ukitaka 2M muda wowote IPO kwa ajili yako,ni kitendo cha wewe kuamua tu
 
Chief bado ipo iyo gari ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…