1xbet Sports - EA
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 789
- 729
well said, Coz Sister uwa anataja insta yake pale anaweza mchek akamueleza coz now insta wame laisisha kuna insta direct message (DM). Kama anaofia kujulikana anaweza akatageneza anonymous accountMuache dada wa watu ajitafutie riziki, kajitahidi hadi amefika hapo. Unataka aende wapi sasa, akajiuze au? Maisha yenyewe magumu. Ungemtafuta ili umshauri arekebishe kile anachopungukiwa.
Hivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha. Ananikera.
Mkuu weka picha tuanze kufuatilia ni Nani nasi tumjue,mchangiaji mmoja kasema ana msambwanda,sasa nataka nishuhudie mwenyewe sitaki ya kuambiwa kabla sijamaliza kuandika uwe umeattach photo
yaan nikimuonaga tu lazima nibadilishe channel,anaboa kimaku yaan!Hivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha. Ananikera.