Suzzy wa E-News EATV, kipaji hutakiwi kulazimisha


Kipindi chake kiko mida gani? nataka kuhakikisha kama hamumsingizii!
 
Hivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha. Ananikera.
Mbona yupo vizuri tu!!

"Hatufanani kama alama za vidole"
 
au mkuu mmetifuana?
Ukisha kataliwa tongozo unakuja mchafua dada wa watu huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…