Swahiba mwingine wa Zitto ajitoa CHADEMA

Facts1,
Karibu sana ukumbini. Naona hapa utakuwa unamwaga facts tu. Safi sana!
 


- I like this line, yaani sasa inaanza kuwa ni Chadema's classic Bwa! ha! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 

Sasa kama hakuna uanachama wa kuzaliwa iweje kuwe na wanachadema HALISI, WAKUJA na MAPANDIKIZI?

Haya matabaka ya uanachama mnayoyajenga na kuyaneemesha kwa minajili ya kuwahakikishia nafasi zenu na fikira zenu za kimikakati ndani ya chama yataendelea kuwagharimu....

omarilyas
 
lol!😀😀
memba wewe ndo kwanza naku-mark leo

enewei,UMETULIA
 
mimi sishangai kabisa. Chama cha upinzani chenye msimamo ni CUF peke yake. CUF haiyumbishwi na vitimbakwiri. CUF ni chama chenye nguzo madhubuti kabisa. Matatizo ya CUF ni fedha tu. Pesa ndio imeadimika vinginevo ni chama chenye msimamo kwelikweli.
 
Code:
Code:



Code:
Code:

Gazeti la Mwananchi siku hizi linanipa raha sana.......ni hatari sana ukigundulika unatumika kwa maslahi ya kundi fulani la waovu kwenye jamii.
 
Code:
Code:

Mimi gazeti la Mwananchi nilishaacha kununua. Ni subsidiary newspaper la gazeti la Uhuru
 
Mwenzenu Zitto sijui anajimini nini, anawarushia makombora humohumo, ulitakiwa kusema ukiwa humo humo, uone moto wake ukoje, ukitoka utoke umeshasema ukiwa mwanachama.Huu woga wa kusema nje si mzuri sio kwa chadema tu hata kwa vyama vingine.

!!

Nilishasema kwamba utaonekana kituko kama ukiamua kutoka then kesho yake unaita waandishi unaanza kubwabwaja, kama we kidume kweli kwa nini usikomae humohumo?. sasa ukibwabwaja wale wanaokuchukua katika chama kipya ndiyo wakuonee huruma kwakupe cheo kingine? si lazima kwenye chama uwe na cheo.

Bila uvumilivu basi siasa kwa ujumla hamtaziweza, ipo mifano mingi tu ya wanasiasa wavumilivu na wasio wavumilivu na walio wavumilivu wana heshimika. Mwanasiasa unapohamahama unaonekana huna misimamo ni sawa na changu mawindoni, You need to stick to what you believe to be a successful politician".

Kwa upande mwingine CHADEMA safisheni chama chenu, toeni mainzi wote, wanaosema Chadema ni ya wachagga si wakomavu wa siasa hao ni wavamizi na mi nawaita mainzi.

Weberoya nakusoma Mkuu.
 

Ndugu Omarilyas

Niliposema wana Chadema Halisi sikumaanisha matabaka ni uanachama kwa vitendo, kuna wanachama waliojiunga kwa malengo tofauti na ya chama, kama lengo lako ni kukivuruga chama wewe hautakuwa mwanachama HALISI ndiyo maana nikasema mwanachama wa aina hiyo akitaka kuondoka na aondoke.
 
yana mwisho haya yote...na tutajua mwisho wake baada ya uchaguzi 2010...na bado mengi sana yatakuja, kuanzia kuitana majina, watu kuhamahama, kutukanana, kashfa zisizo na ukweli, za ukweli maana-kuna watu wanajua mabomu ya wenzao wameyakalia wanasubiri wachukue fomu...sisi wananchi yetu macho na umaskini, as am sure hayo yote hayatatusaidia katika kutuletea maendeleo ya watanzania, maana badala watu tujadili maendeleo na sera za vyama tunaongelea sijui nani kajitoa wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…