Sista Horn Kombe Masufuri
JF-Expert Member
- Sep 19, 2018
- 450
- 119
2:.......Watanzania wamekuwa wakiwadharau wakenya sana linapokuja swala la muziki. Changamoto hapa.Naomba wabongo walete nyimbo za injili ambazo zimefikisha 5M views kwenda juu. Na si muziki wa kidunia tafadhali .
1.Ning'are by shusho.
Leteni hizo zingine
2:.......
Sista nakuona tu.wabongo wameacha dini saiv,hawawez kuj hapWatanzania wamekuwa wakiwadharau wakenya sana linapokuja swala la muziki. Changamoto hapa.Naomba wabongo walete nyimbo za injili ambazo zimefikisha 5M views kwenda juu. Na si muziki wa kidunia tafadhali .
1.Ning'are by shusho.
Leteni hizo zingine
Kenya Mwema imefika 9 million viewsWatanzania wamekuwa wakiwadharau wakenya sana linapokuja swala la muziki. Changamoto hapa.Naomba wabongo walete nyimbo za injili ambazo zimefikisha 5M views kwenda juu. Na si muziki wa kidunia tafadhali .
1.Ning'are by shusho.
Leteni hizo zingine
Iko karibu 10M views. The most watched swahili gospel in East Africa if not in the whole worldKenya Mwema imefika 9 million views
Wallahi hawawezi karibia hapa .Mziki wa injili tuko mbele. Kina Solomon na rose muhando walichapa siwasikii siku hiziSista nakuona tu.wabongo wameacha dini saiv,hawawez kuj hap
"We" ukimaanisha wewe na nani?We are Freemason don't need your gospel. Sorry if you believe there is life after death
The best Na 90% ya nchi hawaelewi EnglishSA gospel is fire.
Jaribu kuangalia hizo nyimbo zina muda gani tangu ziachiwe YouTube, mfano hizo za mercy masika ni miaka 3 au 2 iliyopita ndio views hao.Tz mwangalie angel Bernard_siteketei ana 4.1m na ni mwaka mmoja... still Tanzanians are good in gospel music.Mwema -9M
Nani kama wewe -7M
Kibali -6M
Nikupendeze -5M
Umenifanya ning'are -5M (tz )
Sasa wabongo nawaomba mfunge vinywa vyenu na muache kututajia akina Solomon na muhando .hao watu hawatambulikani Kenya sasa hivi. We have our own gospel stars men.gospel Kenya secular Tanzania
Kwa evidence ipi mkuu?Kwa gospel song's Tanzania haioni Kenya hata kidogo
Nenda angalia nyimbo za Kenya upande wa gospel utaelewa ninachokisemaKwa evidence ipi mkuu?
Kwa evidence ya kuwa na viewers wengi sidhani kama ndio kipimo cha ubora wa muziki.Viewers wengi inamaana ni support na sio kwamba wametuzidi kimziki..Kenya wanasapoti zaidi mziki wa gospel kuliko TanzaniaNenda angalia nyimbo za Kenya upande wa gospel utaelewa ninachokisema
Tanzania haina Dini. Lakini kenya inadini.Kwa evidence ya kuwa na viewers wengi sidhani kama ndio kipimo cha ubora wa muziki.Viewers wengi inamaana ni support na sio kwamba wametuzidi kimziki..Kenya wanasapoti zaidi mziki wa gospel kuliko Tanzania