D ditto86 Member Joined Feb 3, 2013 Posts 28 Reaction score 3 Feb 3, 2013 #1 Naomba kuuliza; Ni kwa mda gani unaweza kukaa bila ya kufanya mtihani wa FORM 4 kama ulifaulu QT..?
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,954 Feb 3, 2013 #2 mkuu si zaidi ya miaka 3. SWALI LA NYONGEZA?
D ditto86 Member Joined Feb 3, 2013 Posts 28 Reaction score 3 Feb 4, 2013 Thread starter #3 NZURI PESA said: mkuu si zaidi ya miaka 3. SWALI LA NYONGEZA? Click to expand... ok.. thnks.
D ditto86 Member Joined Feb 3, 2013 Posts 28 Reaction score 3 Feb 4, 2013 Thread starter #4 NZURI PESA said: mkuu si zaidi ya miaka 3. SWALI LA NYONGEZA? Click to expand... -Kama uliwahi kujisajili na mitihani ya form four lakini haukufanya ndani ya hiyo miaka mitatu... hiyo case yake inakuwaje?
NZURI PESA said: mkuu si zaidi ya miaka 3. SWALI LA NYONGEZA? Click to expand... -Kama uliwahi kujisajili na mitihani ya form four lakini haukufanya ndani ya hiyo miaka mitatu... hiyo case yake inakuwaje?
C Chifu kamaliza Member Joined Nov 17, 2011 Posts 32 Reaction score 5 Feb 4, 2013 #5 Mkuu jisajili kufanya mtiani wa form4 hata usipofanya utakuwa na uhakika wa kurudia hata miaka mingi