NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Wewe huna unachoweza kunifunza kwa lugha ya Kiswahili. Neno 'kung'ang'ana' liko sahihi sana kwa muktadha wa sentensi niliyoandika. Niliwaambia nyie Kiswahili hamkijui ni vile tu ndio lugha mnayoongea pekee hadi mnajiona magwiji.ilipaswa uandie "kung'ang'ania" na sio kung'ang'ana.
jifunze kwanza kuandika kiswahili fasaha na mujarabu halafu urudi kujadiliana na mimi. [emoji23] [emoji23]
Yaani leo nimefarijika sana kusikia mkenya akitetea kiswahili kwa nguvu kiasi hiki. Niliuliza mara nyingi sana hapa JF, kwamba kwanini GoK inaendesha shughuli zotea kitaifa kwa kiingereza wakati lugha ya taifa ni kiswahili?.Serikali yetu inapaswa kuchukua msimamo mkali kukuza kiswahili. Safaricom na kampuni zingine zipigwe marufuku kuweka adverts za sheng kabisa. Kwa runinga pia wasoma habari wa kiswahili na vipindi vya kiswahili vinapaswa kupewa mda mwingi kuliko kiingereza. Kiingereza sasa ata mtu ambaye ajaenda shuleni anakielewa manake kimejaa kila pahali kwa media na social media. Kiswahili ni lugha yetu sisi wakenya na naskia vibaya hatuipi ile sifaa na nafasi inayo faa.
Unaona hawa jamaa walivyo wabaguzi?, hii ndio sababu wanakidharau sana kiswahili, kwao kujua kiingereza ni dalili ya kuelimika na kuishi maisha ya juu, ila wakiona kiswahili kinazidi kuenea duniani kutokana na juhudi za Tanzania, nao wanajisogeza ili kupata sifa, hawa ni wazee wa kupenda sifa, na wasiojua nini wanlosimamia hapa duniani, wengi ni watumwa bado hawa.Mkenya aliekosa kusoma
Maana ya neno kung'ang'ana ni kushika /kusukuma n.kWewe huna unachoweza kunifunza kwa lugha ya Kiswahili. Neno 'kung'ang'ana' liko sahihi sana kwa muktadha wa sentensi niliyoandika. Niliwaambia nyie Kiswahili hamkijui ni vile tu ndio lugha mnayoongea pekee hadi mnajiona magwiji.
Huwezi nifunza Kiswahili wewe boya. Kiswahili chote Kimezaliwa Kenya kule Shungwaya - usijipe presha.😀😀😀Maana ya neno kung'ang'ana ni kushika /kusukuma n.k
Wewe mkenya hicho kiswahili cha kwenye matatu hakina nafasi ,kiswahili cha Kenya sijui kilizaliwa wapi , kilugha si kilugha yaani hakieleweki
Ama namna gani?
asante kwa kusaidia kumuelimisha yule kilaza mkenya.Maana ya neno kung'ang'ana ni kushika /kusukuma n.k
Wewe mkenya hicho kiswahili cha kwenye matatu hakina nafasi ,kiswahili cha Kenya sijui kilizaliwa wapi , kilugha si kilugha yaani hakieleweki
Ama namna gani?
Wewe mchambawima kiswahili gani unachojua zaidi ya kuandika kilugha humu ,Huwezi nifunza Kiswahili wewe boya. Kiswahili chote Kimezaliwa Kenya kule Shungwaya - usijipe presha.😀😀😀
Serikali yetu inapaswa kuchukua msimamo mkali kukuza kiswahili. Safaricom na kampuni zingine zipigwe marufuku kuweka adverts za sheng kabisa. Kwa runinga pia wasoma habari wa kiswahili na vipindi vya kiswahili vinapaswa kupewa mda mwingi kuliko kiingereza. Kiingereza sasa ata mtu ambaye ajaenda shuleni anakielewa manake kimejaa kila pahali kwa media na social media. Kiswahili ni lugha yetu sisi wakenya na naskia vibaya hatuipi ile sifaa na nafasi inayo faa.
Hatudhihaki Kiswahili, huwa tunachekelea wale Wabongo wanaojaribu kutype Kiingereza alafu wanabaki wamekiharibu ndio maana sisi huwaambia wabaki tu kwa Kiswahili sio kwamba tunakidhihaki bali tunawaeleza watumia lugha wanayoielewa ndio waeleweke. Hamna haja ya kung'ang'ana na lugha huelewi wakati unaweza eleweka kwa lugha nyengine.
Wewe huna unachoweza kunifunza kwa lugha ya Kiswahili. Neno 'kung'ang'ana' liko sahihi sana kwa muktadha wa sentensi niliyoandika. Niliwaambia nyie Kiswahili hamkijui ni vile tu ndio lugha mnayoongea pekee hadi mnajiona magwiji.
Most African languages for the past decade and over of social media platform Twitter’s existence have been referred to as Indonesian in terms of translation.
That has changed with Twitter’s official recognition of Swahili as a language. It became the first African language to achieve that accomplishment. Swahili is however yet to be added in the language settings of Twitter.
The network now recognizes Swahili words and offers translation of the widely spoken and written East and Southern African language.
Since last week, Twitter kick started detection of the language in tweets and subsequently offers a close to perfect translation as with most other foreign languages.
Kenya Ministry of Sports and Heritage joined Twitter users to celebrate the feat. “Kiswahili which is widely used in East Africa, is Kenya’s national language & it unites the people of Kenya,” the tweet said in part.
TWITTER RECOGNISES SWAHILI AS A LANGUAGE:
USA based social networking site Twitter recently added the capability to detect Swahili words in tweets & to translate them. Kiswahili which is widely used in East Africa, is Kenya’s National language & it unites the people of Kenya. pic.twitter.com/TMzgWU1IXu— Ministry of Sports and Heritage (@moscakenya) May 7, 2018
Arriving at the feat, however, did not come easy as Kenyans – known to be vibrant on the platform staged protests with the hashtags [HASHTAG]#SwahiliIsNotIndonesian[/HASHTAG] and [HASHTAG]#TwitterRecognizeSwahili[/HASHTAG].
But like all google translate efforts, some translations have fallen short of the import of what is meant. But for all it is worth, it positions Swahili as a fore runner in the area.
Records indicate that the language is spoken by 50 million plus people especially in East Africa – it is listed as national language of: Tanzania, Kenya, Uganda. People in parts of the DR Congo also speak it.
Hausa is now on Facebook hit “so” if you think it is a good thing. [That would be “like” for any non-Hausa speakers] https://t.co/61dMvhl55F— africanews (@africanews) August 2, 2016
hapa umeandika kiswahili fasaha?Wewe huna unachoweza kunifunza kwa lugha ya Kiswahili. Neno 'kung'ang'ana' liko sahihi sana kwa muktadha wa sentensi niliyoandika. Niliwaambia nyie Kiswahili hamkijui ni vile tu ndio lugha mnayoongea pekee hadi mnajiona magwiji.
Tumia herufi kubwa mwanzoni mwa sentensi. Sarufi yako mbovu.hapa umeandika kiswahili fasaha?
Uwuru na Umojaaaa! Ebu nitoe hayo makose wewe mbumbumbu.Hii lugha wewe huimudu na ni dhahili kua sio lugha yako ya asili. Kiswahili ulichoandika kina makosa mengi sana.
Uwuru na Umojaaaa! Ebu nitoe hayo makose wewe mbumbumbu.
Nenda ukawe mwalimu wa Kiswahili pale Alayanzi high school Mbagala basi.😀😀😀😀"Hatudhihaki Kiswahili, huwa tunachekelea wale Wabongo wanaojaribu kutype Kiingereza alafu wanabaki wamekiharibu ndio maana sisi huwaambia wabaki tu kwa Kiswahili sio kwamba tunakidhihaki bali tunawaeleza watumia lugha wanayoielewa ndio waeleweke. Hamna haja ya kung'ang'ana na lugha huelewi wakati unaweza eleweka kwa lugha nyengine."
Ulitakiwa uandike hivi: Hatukidhihaki Kiswahili, huwa tunawacheka wale Wabongo wanaojaribu kuandika kwa Kingereza na kufanya makosa mengi. Ndio maana sisi huwaambia waandike kwa Kiswahili, sio kwamba tunakidhihaki ila tunawaeleza watumie lugha wanayoimudu ili waeleweke.
Its my anticipation that the distinction is well noted and understood.
not all Tanzanian speak swahiliIn Tanzania we r 55 mln and all of us can speak that language! How comes it is only 50 mln users?