swahili v/s english

Mimi ntajibu kwa kifaransa.
Quel nombre dans votre famille sibling sont vous ?
 
Nimesema mimi Maimunaaaaaaaaaa!...............:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:


Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Umenikumbusha shule fulani ya sekondari inafahamika kwa jina la Maamuma! Ni ya serikali ya JK ina watoto wataalamu wa kufeli na asilimia 80 ya walimu ni Form 6 leavers.Wanachapa wanafunzi niajee?:glasses-nerdy:
 
Mimi ntajibu kwa kifaransa.
Quel nombre dans votre famille sibling sont vous ?


Wakati mimi ni mwanafunzi kwenye seminari moja mkoani Arusha,tuliletewa mkuu wa shule aliyekuwa ameishi Congo Brazaville kwa muda mrefu.Kiswahili kilimtatiza sana.Siku moja akamuuliza mwenzetu "commo tu't apelle?" Jamaa akakimbia hadi stoo na kurejea na nyundo,mkuu akadhani alitaka kumtwanga nayo ikawa bonge la kesi.Yaliisha baada ya maelezo marefu sana.:smash:
 
Wakuu nashukuru wale wote mliochangia.Nimepata majibu mengi na mengine nimejaribu kuyatumia na nikafanikiwa kwa kiasi kikubwa.Shukrani.
 
:confused2::confused2::confused2:

:shocked::shocked::shocked: Fiedellllllllllllllllllllllllll:A S 100:
 
Ngoja ni jaribu

whats your birth position among your family siblings?
 
Yani hapa nilipo naburudika sana asante wana JF kwa kutuburudisha.teh teh teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…