kamara
New Member
- May 21, 2010
- 2
- 0
Je swala la kuipata katiba mpya limewezekanaje kupunguzwa kasi?
Je ilikuwa tu kasi ya kisiasa kuzunguka kila mkoa kutanganza kuhusu swala la upatikanaji katiba mpya?
ni kwanini kila wakati vyama vya upinzani udanganywa kama watoto kukaribisha ikulu na kula pilau siyo chanzo cha kuwafunga midomo a msimamo,unafikiri bungeni ndio mtapata muafaka ama umedanganywa kwa bimbinu za kimapinduzi
Je ilikuwa tu kasi ya kisiasa kuzunguka kila mkoa kutanganza kuhusu swala la upatikanaji katiba mpya?
ni kwanini kila wakati vyama vya upinzani udanganywa kama watoto kukaribisha ikulu na kula pilau siyo chanzo cha kuwafunga midomo a msimamo,unafikiri bungeni ndio mtapata muafaka ama umedanganywa kwa bimbinu za kimapinduzi