Kuna kaukweli kidogo ila sio kwa kipindi hiki, labda anunue sasa hivi kwa wingi halafu asubirie kianzia mwezi wa 10 mpka january auze hukohuko au apeleke huko Tanga, kwasasa gunia linaweza uzwa 50 huko shambani japokuwa kipindi hiki mahindi hayajapatikana sana kwasababu za mvua kidogo.
Jana nilijaribu kwenda huko kupitia turiani nikaishia njian baada ya kuona siwezi pata mzigo niliohitaji kwasasa.