Aisee Humjui hashim Thabiti?Katika pita pita zangu huko mitamdao mingine nimeona DC wa wilaya fulani amembeba mtoto inaonyesha tayari kajifungua ni wake.kama tunavyojua jf ina wataalam...
Vunja beiKatika pita pita zangu huko mitamdao mingine nimeona DC wa wilaya fulani amembeba mtoto inaonyesha tayari kajifungua ni wake.kama tunavyojua jf ina wataalam/wajuaji wa kila kitu habari za uchunguzi na kuna member humu warumi alikuwa bingwa wa kutuletea umbea !je?ina maana member wa jf wote hili nalo limewashinda kumjua baba wa mtoto ili tumjue shemela mmliki wa mrembo na mheshiniwa weru ili nae tumpe heshma yake??
Karibuni hadi tumjue[emoji2312][emoji2312]
Siku hizi tuna cocastic. Naona anakuja kwa kasi kubwa kwenye hicho kipengele. Mpe siku chache tu, ili aingie mtaani.Katika pita pita zangu huko mitamdao mingine nimeona DC wa wilaya fulani amembeba mtoto inaonyesha tayari kajifungua ni wake.kama tunavyojua jf ina wataalam/wajuaji wa kila kitu habari za uchunguzi na kuna member humu warumi alikuwa bingwa wa kutuletea umbea !je?ina maana member wa jf wote hili nalo limewashinda kumjua baba wa mtoto ili tumjue shemela mmliki wa mrembo na mheshiniwa weru ili nae tumpe heshma yake??
Karibuni hadi tumjue[emoji2312][emoji2312]
"break price".....Duh break price ana mkono wake hapo.