ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Katumwa huyo,siyo bure!!au vyuma vimembania.Hivi wewe si ndo ulisema huna time ya kufuatilia wasanii local, wewe mwendo wako ni akina Jay Z, Beyonce, Lil Kim, Halle Berry, Nia Long and the like?!
nawasubiri wenye akili zao waje waongee sasa! tuwasaidie wadogo zetu tu kwakweli...
Bonge la point ila kabla ya kuendelea ww ni mchaga maana hzo *KIRUU* sio poa Turudi kwenye madanawasubiri wenye akili zao waje waongee sasa! tuwasaidie wadogo zetu tu kwakweli...
Kwahiyo unawazungumziaje wakina bakhresa wanaouza Aishkrimu?Kwa wao kufanya biaahara za namna hiyo zilizotakiwa zifanywe na watu wa kawaida na wao wakatumika kuzi promote wakiwa kama mabalozi ni ukosefu ubunifu kwenye biashara na ushauri wa watu wenye ujuzi na utalaamu kwenye uwekezaji if they he worth 8bn angeweza kuwekeza kwenye fursa nyingi ambazo zingempa return kubwa zaidi na zingechangia zaidi kwenye uchumi wa nchi yetu hzo biashara za karanga, ubuyu na viungo vya pilau awaachie wajasirimali wadogo yeye awasapoti wakue.
asante kwa mara ya kwanza nimekutana na mtu mwenye akili zake nzima na za maendeleo!Bonge la point ila kabla ya kuendelea ww ni mchaga maana hzo *KIRUU* sio poa Turudi kwenye mada
Upo kama mm kabisa kwann nasema hvy ww unajifunza kutoka kwa watu walio jielewa
Bongo wasanii wengi wanapenda kujulikana kuliko hela anayomiliki hvy hvy hata wasanii wengi wa afrika waliopo marekani mfn may weather anatumia million 100 kubadilisha oil ya gari na ni yy kaandika kwamba kafanya hvy ili apate sifa
Hvy hvy huku bongo unaona mtu unafanya ujinga ili spate kiki yani ujinga mtupu
Ukiangalia White people hutumia hela hzo kusaidia waafrika na wa Asia wanaoteseka kutokana na uzembe wa nchi familia au yy mwenyewe
Pia kitu kingine mfano Justin beiber wakina jay z Beyonce huwa kazi zao ndo zinajulika kuliko maisha yao ya kawaida sasa huku bongo ni vice versa mtu anatumia hela ili atambulike mfano diamond anatumia hela
Kutengeneza kiki mara kalala na mobetto mara ujinga wa ben pol na Ebitoke wolper na harmonise sijui na wengine wengi
Ila ukiangalia hawa watu mziki bado wazembe kabisa kwasababu huwezi kwenda kwenye live bendi zao wa live show maana wanauzi balaah mfn show ya diamond sio nzuri kabisa yani anaforce kufanya show coz hanamazoezi na ndo maana bongo Sidhani kama kuna wasanii wanaweza kufanya show za live kama Alice keys
Na wengine wengi coz huwezi on a mtu anapiga show masaa manne mpk sita akiwa mwenyewe na kumiliki stage yani bongo ni vigumu huku kiki mfn diamond kabla ajaimba wimbo ety anaweka story mfano ya kuachwa na zari anaimba wimbo wa sikomi yani hujinga mtupu daah!
Turudi kwa watu nunda humu jamii forum tunawashauri wakina diamond wema na wengine alafu mtu anakuhuliza ww una nn mpk uwashauri wenzako unajua hakuna anayeweza kuona kisogo chake naamanisha huwezi on a makosa yako pia we unaweza jiona upo sawa ila ss ndo tukaona unaharibika mm nakwambia wasanii wakitanzania wanaishi maisha feki yani akifa au akipata shida ndo utamjua vizuri
vinibaneje labda? unanijua au unaniona tu JF?!Katumwa huyo,siyo bure!!au vyuma vimembania.
mtaje m1 tumwone!kuna maprofesa wakubwa nchini hp wanauza barafu we una mshangaa mondi kuuza karanga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
bhakresa ajira yake ya kwanza ni mziki?!Kwahiyo unawazungumziaje wakina bakhresa wanaouza Aishkrimu?
tafuta hadithi ya money penny ni nani lakini hapa jamii forum utajua nimeolewa na naniMleta mada umeolewa na yule muhanga wa diamond jubilee hall aliyezimia kwa sauti ya Makonda?ujane unakuotea mlangoni.
hii ni part 2Mange Kimambi... Diamond Platinumz. ..Ali Kiba... mbona unajicontradict mwenyewe....kwenye huu uzi ulisema wewe humfwatilii mondi waka liba waka kimambi kwamba wewe mambo yako ni ya mbele (majuu) kwa kina beyonce.....sasa imekuwaje hadi unajua biashara ya mondi hadi madem zake??
Ushauri:acha kuigiza maisha maana kwa unavyojionesha huna class yoyote ya kumshauri diamond na weww ni limbukeni wa mji tu huna lolote..
Mala ooh unamshabikia rihanna tu na beyonce ...acha ulimbukeni ujitambue
thank youKwa wao kufanya biaahara za namna hiyo zilizotakiwa zifanywe na watu wa kawaida na wao wakatumika kuzi promote wakiwa kama mabalozi ni ukosefu ubunifu kwenye biashara na ushauri wa watu wenye ujuzi na utalaamu kwenye uwekezaji if they he worth 8bn angeweza kuwekeza kwenye fursa nyingi ambazo zingempa return kubwa zaidi na zingechangia zaidi kwenye uchumi wa nchi yetu hzo biashara za karanga, ubuyu na viungo vya pilau awaachie wajasirimali wadogo yeye awasapoti wakue.
vizuri kula na woteMoney Penny, ww chizi ndio maana umepigwa ban, yaani thread moja umeifungua mara mbili au Kuna jibu lako unalitaka. Snoop dog anauza bangi hivi unalijua hili, cristian Ronaldo anauza boxer unalijua hili kwa kumalizi nenda Forbes kaangalie list ya matajiri 50, Kuna mama (Jaqueline Mars ana utajiri wa dola billion 23.5) utajiri wake umetokana kwa Kuuza pipi. Kupitia karanga, perfume na WCB, TRA inachukua kodi ambazo zinajenga barabara, mahospital, shule nk na vilevile watu wamepata ajira, hauoni kama ameisaidia jamii. Sasa ww unataka nini au unataka mpaka aisaidie familia yako ndio ujue anaisadia jamii. Tatizo la vijana wengi wa kitanzania, wanapenda maendeleo lkn hawapendi kujifunza, kupitia kwa walioendelea na wenye mafanikio zaidi ya kujenga majungu, fitina, chuki na wivu. Huu uzi uliufungua usiku, mpaka saa nane unajibishana na watu, leo tena HIVI HUNA KAZI YA KUFANYA. Alafu ww unajifanya mjanja, "eti mimi sifuatilii mziki wa Tanzania", kumbe mweupe huna inachokijua, kama ikiwezekana JF, ikupige ban maisha.
wenzio wamecomment watu 1000Ah! Unadhani wa Tanzania wanasomaga post ndefu kama hiyo! Mie pia sijaisoma nnajibu tu sijui hata umeandika nini.
kajinyongeThis is Upuuuuz
Basi limtu badala licoment tu lita quote liuzi lote hili na kikoment chake cha sentensi moja... Mnakera mfyuuu
mliambiwa mje kucomment kwani?!Nonsense. Bidhaa ya karanga ina tatizo gani? watu wanafanya biashara kutokana na mazingira yaliyomzunguka. Niambie Bruno Mars ana bidhaa gani ? Unaowazungumzia hawana bidhaa ni ambassadors tu na ni kutokana na maendeleo ya nchi zao, plus tuzo wanazopata ni pesa ndefu show zao pesa ndefu miji mingi they can do many tours na wakalipwa pesa ndefu. P.S Underground wa marekani ni tofauti na superstar wa bongo, simple
unajua maana ya class?We mleta mada kabla hujaanza kuwatazama kuna mondi ambao bado wadogo kiumri na upambanaji kwann usimshangae mzee bakhersa anauza nazi za sh mia nane?? Mzee Mengi anauza maji..itakua akili zako umeziloweka kwa sabuni ya foma gold coz hilo pov hata ukimwagia choon harufu haiishi..nyambaf
akimaliza auze na condom basiNgoja nimshauri Mondi auze na mahindi ya kuchoma pale taifa kukiwa na game[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]