Swali: Diamond Platnumz na Wema wanafanya nini mjini?

hii ni part 2

umeona Mange kaandikwa hapa?
Kwahio sasa hivi umeanza kumfwatilia diamond??
Maana mwanzo ulisema huwafwatilii lkn maajabu unajua hadi watu anao date nao na biashara zake n.k
 
Kwahio sasa hivi umeanza kumfwatilia diamond??
Maana mwanzo ulisema huwafwatilii lkn maajabu unajua hadi watu anao date nao na biashara zake n.k
unajua maana ya sustainable development?

kama hujui usicomment
 
Uchawi ndio msingi wa maendeleo ya mwafrika....
 
unajua maana ya sustainable development?

kama hujui usicomment
Wewe umechanganya madesa hapa unajifanya et unamfwatilia beyonce na mastaa wa mbele kimbe kazi kushinda ukumuwaza diamond na biashara zake
 
Wanalalana
 
hao uliowataja ni watanzania wachache tu lakini wanawakilisha zaidi ya watanzania mil50,ni matokeo yakuwa na mawazo mgando pasi kutaka kuumiza kichwa,watu wanaangalia hatua tano mbele tu bila kuangalia nini kinakuja ndani ya miaka mitano au kumi!


 
hao uliowataja ni watanzania wachache tu lakini wanawakilisha zaidi ya watanzania mil50,ni matokeo yakuwa na mawazo mgando pasi kutaka kuumiza kichwa,watu wanaangalia hatua tano mbele tu bila kuangalia nini kinakuja ndani ya miaka mitano au kumi!
kama haujaui maana ya sustainable development usicomment hapa plz!

au uje huku Ushauri: Money Penny Kapendwa
 
kwani kuuza karanga kunamfanyaje mtu kutokua na classy?
kwanza diamond yeye ni mmiliki hazunguki na hizo karanga juani. hatuwezi kua sawa hata siku moja. hao wasanii unaowataja wao wamefocus kwenye mziki wao tu lakini wasanii wetu wameona wajiongeze na kwenye sector nyingine. lakini hata huko marekani mbona Kanye west anatengeneza mitumba?
 
Aisee!
Wewe mtumba upi umeuvaa wa Kanye West?!
Eti mtumba!
Nawakati snapchat kila siku wanaonyesha anatengeneza branded clothes na Kim kardashian

Ila ukishajua mana ya sustainable development uje utoe ushauri
 
Nafikiri wewe ndo una tatizo. Kama unathinkiing ya aina hiyo you will remain in poverty for life. Jitathmini. Vitu vidogo vyenye profit margin ndogo vikiuzwa kwa wingi. AZAM anauza maandazi ambayo wewe unaona ni kazi ya wasiosoma. Lakini anauza maandazi kwa akili. Mo naye anauza hivyo vitu ambavyo unadhani wanauza wasio na akili na exposure. Eric Shigongo anauza udaku sababub aliona market inapenda udaku. Na hao ni mabilionea wakati wewe umekaa huku jamii forums huna hata mradi wa kukungizia elfu tano kwa siku unajifanya upo selective. Mshahara ukichelewa unalia lia halafu una kuja unaanzsha thread kwa confidence bila kutafakari. Ungekuwa una akili za ki entrepreneur ungefahamu biashara ya karanga za diamond si biashara ya mchezo mchezo. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
I will remain poverty tena? !
Hii English au utumbo?!
Si umeona mwenyewe keshafungiwa miziki msaidieni mdogowenu azitumie pesa kwa akili

Alafu kama haujui mana ya sustainable development plz usicomment hapa
 
si bora nazi mia nne tajir baressa anauza maandaz mia mia ye anashangaa nn
 
si bora nazi mia nne tajir baressa anauza maandaz mia mia ye anashangaa nn
Bakhresa alianza biashara ya mziki? !
Bakhresa alianza kushona viatu na ndala pale palmbeach kituoni upanga. .. akiuza maandazi ni profession ile ile
Bro kama Huna mchango usicomment hapa
Alafu unajua mana ya sustainable development au?!
 
I will remain poverty tena? !
Hii English au utumbo?!
Si umeona mwenyewe keshafungiwa miziki msaidieni mdogowenu azitumie pesa kwa akili

Alafu kama haujui mana ya sustainable development plz usicomment hapa
message sent. Naona una capitalize on my grammatical mistake (I call it a typo) (I mean't in poverty) na huo ndo uwezo wako ulipoishia you can't discuss further than that. Si ukafanye sustainable development ambaye unajua maana yake sio kuongea ongea tu. Kuongea rahisi sana. Badala ya wewe kuchukua hatua kufanya ambacho ni sahihi unawalaumu wengine kwaninin hawafanyi. Wewe ambaye una mwanga zaidi ya Diamond mbona hufanyi hayo unayoyaongea au kukosoa wengine ni rahisi zaidi kuliko kujitathmini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…