Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
Kitu kitu sijakielewa vizuri kuhusu huyu Kocha wa timu yetu ya Arsenal, huyu mtu wa kwetu Aserne Wenger. Tangu nimemjua huyu Kocha nimeshuhudia akifanya mambo mengi makubwa kuhusu hii timu yetu. Baadhi ni kama haya
1. Amefukuza wachezaji wazembe na wavivu
2. Amepunguza gharama za uendeshaji wa timu kwa kutosajiri wachezaji wapya na wa gharama
3. Amepunguza sana faulo ndani ya uwanja
4. Amejenga miundo mbinu ya uwanja wetu wa nyumbani
5. Bila kusahau kahamisha makao makuu ya club
6. Na wewe unayesoma ongezea ya kwako
Kwa ufupi Arsene Wenger kufanya mambo mengi ya kishujaa ambayo watangulizi wake walishindwa. Ila ana tatizo moja, sijui linatokana na nini "ANAOGOPA SANA KELELE ZA MASHABIKI"
Tumeshamshauri Kocha wetu acha kuogopa mashabiki tumekupa mkataba wa miaka 5 Unaogopa nini, mashabiki hawa ni kelele tu hawana uwezo wa kuuvunja huu mkataba, tumeshamuhakikishia kuwa tunaweza muongeza tena miaka 2 kwenye mkataba wake ila bado kelele za mashabiki zinamtesa.
Labda mashabiki wa timu na benchi la ufundi mnisaidie "HOFU YA KOCHA WETU INATOKANA NA NINI? "
1. Amefukuza wachezaji wazembe na wavivu
2. Amepunguza gharama za uendeshaji wa timu kwa kutosajiri wachezaji wapya na wa gharama
3. Amepunguza sana faulo ndani ya uwanja
4. Amejenga miundo mbinu ya uwanja wetu wa nyumbani
5. Bila kusahau kahamisha makao makuu ya club
6. Na wewe unayesoma ongezea ya kwako
Kwa ufupi Arsene Wenger kufanya mambo mengi ya kishujaa ambayo watangulizi wake walishindwa. Ila ana tatizo moja, sijui linatokana na nini "ANAOGOPA SANA KELELE ZA MASHABIKI"
Tumeshamshauri Kocha wetu acha kuogopa mashabiki tumekupa mkataba wa miaka 5 Unaogopa nini, mashabiki hawa ni kelele tu hawana uwezo wa kuuvunja huu mkataba, tumeshamuhakikishia kuwa tunaweza muongeza tena miaka 2 kwenye mkataba wake ila bado kelele za mashabiki zinamtesa.
Labda mashabiki wa timu na benchi la ufundi mnisaidie "HOFU YA KOCHA WETU INATOKANA NA NINI? "