Swali fikirishi linalotaka majibu fikirishi

Swali fikirishi linalotaka majibu fikirishi

Mbege10

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
871
Reaction score
1,475
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu
CCM na CHADEMA karibu kila chama kimekuwa kikijinasibu kina wafuasi wengi wanaowaelewa

Hoja yangu ni hii Taifa letu limeleta chanjo milioni 1 ambazo hadi sasa inasemekana zimetumika chanjo chini ya laki nne

Kwa muda sasa najua wafuasi wengi wa CCM hawana utayari bado wa kuchanja chanjo hiyo

Sasa je wapinzani waliopigania haswaa ili chanjo iletwe kwa kuona raia tutapotea sana na wakatuonea huruma(nashukuru kwa hilo)

Mbona hizi chanjo hadi sasa zimeshindwa kuisha na wakati ni chache saana.Je wafuasi wa upinzani ni wachache saana?

Je walikuwa wanapigania wasiloliamini?
Je walikuwa wanapiga kelele tu kuendana na mdundo uliopo?

Je tuamin kwamba zile kelele za kuibiwa kura sio sawa maana wanaopinga wengi chanjo ni CCM na ndio maana chanjo hazijaisha.

Tuamini kwamba wapinzani idadi yao ni ndogo saana ndio maana chanjo 1milioni zimeshindwa kuisha

Hoja haiwez kuwa watu wameisusa maana hakuna muelevu atakae kataa matibabu ya kuokoa maisha yake kwenye janga la namna hii..
 
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu
CCM na CHADEMA karibu kila chama kimekuwa kikijinasibu kina wafuasi wengi wanaowaelewa

Hoja yangu ni hii Taifa letu limeleta chanjo milioni 1 ambazo hadi sasa inasemekana zimetumika chanjo chini ya laki nne

Kwa muda sasa najua wafuasi wengi wa CCM hawana utayari bado wa kuchanja chanjo hiyo

Sasa je wapinzani waliopigania haswaa ili chanjo iletwe kwa kuona raia tutapotea sana na wakatuonea huruma(nashukuru kwa hilo)

Mbona hizi chanjo hadi sasa zimeshindwa kuisha na wakati ni chache saana.Je wafuasi wa upinzani ni wachache saana?

Je walikuwa wanapigania wasiloliamini?
Je walikuwa wanapiga kelele tu kuendana na mdundo uliopo?

Je tuamin kwamba zile kelele za kuibiwa kura sio sawa maana wanaopinga wengi chanjo ni CCM na ndio maana chanjo hazijaisha.

Tuamini kwamba wapinzani idadi yao ni ndogo saana ndio maana chanjo 1milioni zimeshindwa kuisha

Hoja haiwez kuwa watu wameisusa maana hakuna muelevu atakae kataa matibabu ya kuokoa maisha yake kwenye janga la namna hii..
Umma unaipinga kwa sababu imeshikiwa bango na MATAGA
 
Umma unaipinga kwa sababu imeshikiwa bango na MATAGA
Yaani mtu apinge tiba yake kisa kuna asiowapenda wanaipigia chapuo

Basi huyo mtu atakuwa hamnazo
Pia ukumbe hao hao Mataga hiyo chanjo wamegawanyika

Ndio maana nikakwambia CCM wengi hawaikubali ndio maana haijaisha kama wangeikubali sa hizi isingetosha

Rejea makada kadhaa wamejitoa waziwazi kueleza hilo.
 
Jiulize haya je wewe umechanja? Licha ya kusema chadema waliishikia bango je walikua wote au ni viongozi baadhi kitu unapaswa kuelewa hata wabaoipinga wana point nzuri tu wala si wajinga wanaulizia naswali ambayo mpaka sasa hayana majibu hata kwao ulaya na America mfano ni sababu zipi zimefanya wamarecani wasitumie johnson johnsoni kwann wanaikataa, pia kwann kuwepo chanjo tofauti na zitofautiane ubora kwann chanjo ambayo haijatokana na kirus chenyewe ni material yapi yametumika kutengeneza chanjo hiyo na je kunaweza kuwepo madhara gani ya mda mrefu na mfupi hayo yote yanapaswa kujibiwa bila jaziba na elimu itolewe kwa raia sio kurazimisha tu hawa akina gwajima wana point nzur tu ambazo wakizijibu zinaweza saidia watu wengi kuchanja.
 
Back
Top Bottom