Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Viagra je?Hahaha sijawahi tumia hyo kitu naiskiaga tu
Aaah wapi?Viagra je?
Bas hongera,na imani we sio mwanaume wa DarAaah wapi?
AF ukute ndo humpendi n wakuoshea rungu tu...swali nisilolipenda aisee binti aniulize "umenipendea nini..!!!" yaan silipendi..!!!!
Hyo namba moja ndo hatari1.Una mpango gani na mimì?
2. Upo wapi muda huu na unafanyä nini
3 umekula?
Mbona hukojoi? Silipendi hili swali hadi basi
sifanyi kazi
Hahaha hii hata mi siipendi aseeKuna ile unaenda ugenini mgeni unakuwa wa kwanza kuambiwa pakua msosi sasa kwa aibu unapakua kiduchu ambacho hushibi AF ukimaliza kula unaulizwa uongezewe chakula?
Ushawah kuwa na wanaume wangapi?Unaniuliza kabila langu,unataka TUKATAMBIKE?
Mara ya mwisho umefanya lini?Ushawah kuwa na wanaume wangapi?
Nakujibu 2 tu hahah
Kuna mtu aliniuliza hili swali wiki iliyopita nikamjibu leo asubuhiMara ya mwisho umefanya lini?
Fata yako.
Alafu ungemuuliza yeye angekwambia miezi 6 ilopita.Kuna mtu aliniuliza hili swali wiki iliyopita nikamjibu leo asubuhi
Mi hata nilikua simuulizi aisee hahahahaAlafu ungemuuliza yeye angekwambia miezi 6 ilopita.
yani mulumule mkuuSipendi kuulizwa "baby nkwambie kitu?"