Swali gumu....Lakini linajadilika

Mimi nafikiri si sawa kuwe na ruksa ya haya mambo. Lakini jamani kitu cha muhimu ni kujichunguza kwanza sisi walezi, wazazi na jukumu letu zima la kulea watoto wetu katika maadili yanayotakikana na yaliyo sahihi. Kamwe tusitegemee ustawi wa jamii walas erikali kwani sisi yenyewe ndio ustawi wa jamii na sisi wenyewe ndio serikali.
Mtoa mada anachokiongelea ni kweli kabisa kuwa tunajua kuwa haya yanatendeka tunayafumbia macho tu, kuna haja ya kuyachukulia hatua ili kunusuru vizazi vijavyo badala ya kuwaachia TACAIDS na Muhimbili kama vile inawahusu wao tu. TACAIDS wao watakuwa concerned na jinsi vitendo hivi vinavyochangia ongezeko la UKIMWI na magonjwa mengine ya zinaa. Imefika wakati sasa wasomi wetu wa nchi waanze kututumikia japo kwa kufanya tariti za kina za namna ambavyo tabia hizi zinachipukia, enezwa na ikiwezekana watupe recommendations za namna ya kuzizuia zisiendelee kuwepo na watuhabarishe wananchi wote madhara ya tabia hizo kisha tuungane kutokomeza lakini kusema tu Iruhusiwe au isiruhusiwe ni kupaka rangi nyumba chakavu.

Kujibu mada yako kagarama mimi kama mimi naomba isiruhusiwe na litafutiwe ufumbuzi wa kina.
 
mkuu huo ni ukweli. Kwenye show za taarabu huwa kuna matotoz ya ukweli. Yaani we acha tu, Hukosi wa kuopoa. Ila wapo wanaoenda kuopoa matotoz, na kuna wanaume wengine wanaenda eti kisa wanapenda miziki akina mama wa mipasho, aisee hao wanaume wanamapungufu.

Hamna kualalisha homo hapa nchini. Kama itakuwa inafanyika kisiri siri watajijua wenyewe. Ila hamna kuweka sheria ya kuwaruhusu.
 
Bado nasisitiza huna uhakika! Usilinganishe boga na jiwe.Huo mfano wako una walakini nahauwezi kuitegemeza hoja yako ya awali.
 
Hakuna haja ya kupitisha sheria ya kuhalalisha ushoga au ndoa za jinsia moja. Tunaweza kutafakari kwa kina na kutafuta suluhisho la hili tatizo.
 
Tunaweza kutafakari kwa kina na kutafuta suluhisho la hili tatizo.

Nafikiri njia nzuri ya kushughulika na swala hili ni kutumia sheria za Kiislam (Islamic Law)
 
Hilo swali aulizwe papaaaa MS@#%&>,e'anaweza kuwa na jibu
 

Swali gumu mie nikategemea swali kuhusu solution to a stable, long lived WIMP borne of a supersymmetric Grand Unified Theory, cure of cancer or reconciling the 26 spatial dimensions of string theory with the multiverse, or even better Einstein's "action at a distance" spookiness.

Nakuja kuambiwa habari ambazo ni function of socio-cultural systems?

Sioni swali gumu.

Mahusiano ya watu waliofikisha majority age yawe juu yao, na si kazi ya serikali.

Swali hapa sio whether or not ushoga uhalalishwe kisheria na serikali, swali ni kwa nini unafikiri serikali ina haki ya kuwaingilia watu wazima wawili wanaoamua kuishi kishoga.
 

Swali hili linaulizwa na mhusika nini? Mjadala huu haufai hata kidogo
 
Swali hili linaulizwa na mhusika nini? Mjadala huu haufai hata kidogo
usiwe mwoga wa kujadili mambo mazito kwa kudhani watu watahisi wewe ni mhusika. Ukifika Magomeni na Kinondoni mashoga na wasagaji si wakutafuta wamejaa kibao. wewe wa wapi ndugu yetu unayeogopa mambo ya kimji.
 

usagaji unasababishwa na uongozi mbaya ndio maana maadili yanavunjwa kila sehemu tujitahidi kufanya maombi kwa kweli..
 
huwa hairuhusiwi kujadiliwa na zaidi nikuwapa onyo kali wanaowapumulia kwenye vichogo wenzao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…